Tatizo linakuja Serikali inapiokataa au kuona ina haki ya kutotimiza yanayotakiwa na wawakilishi wa wananchi, je hiyo serikali kweli ni ya wananchi au ya Mafisadi.
Hii inafuatia tamko la serikali kwamba Sio lazima serikali itekeleze maazimio ya Bunge.
Hii inafuatia tamko la serikali kwamba Sio lazima serikali itekeleze maazimio ya Bunge.