Serikali ieleze kwa Umma hatua zilizofikiwa na Tanzania kuhusu maandalizi kuelekea soko la pamoja la Afrika Mashariki
Wabunge waihoji Serikali kuhusu mchakato huo katika mkutano wa Bunge...
Wana JF
Wakati tunaenda kuchagua wabunge ni vizuri tukijadili nani anatufaa na tunahitaji nini kutoka kwa hawa tunaowaajiri.
Kwa mtazamo wangu mimi nafikiri Mbunge ni kama meneja wa mahali...
Sunday, January 3rd, 2010 | written by Suleiman Mbatiah
Tanzanias President Jakaya Kikwete has vehemently called for unity ahead of the national general elections later this year. In addition...
Prof.Shivji ni mtu mtaalamu na anajua anachokizungumzia.Ni jambo la kusikitisha kuona baadhi ya watu ambao wengi hawajuwi hali halisi ya visiwani Zanzibar na wala hawaathiriki na vurugu za huko...
kwa sababu tumekubali kuwa watawala wao wanastahili maisha ya heri. HIvi mnakumbuka zile nyumba za mawaziri zilijengwa kwa kiasi gani kila moja? Ni mawaziri wangapi wanaishi kwenye nyumba zile? Je...
Katika hali isiyokuwa ya kawaida Mzee Msekwa akiwa kwenye mjadala uliendeshwa na TBC1 kuhusu swala la Mwafaka wa Zanziba.
Mzee Msekwa alijikuta ukweli juu ya yaliotokea Butiama ukitoka wenyewe na...
Kongamano kupinga ufisadi lahusishwa na chama kipya
KONGAMANO kubwa la kupinga ufisadi linatarajiwa kufanyika Dar es Salaam kuunga mkono juhudi za Serikali za kuwachukulia hatua watuhumiwa wa...
na Makuburi Ally
WAKATI Rais wa Benki ya Dunia, Robert Zoellick anatarajia kuzuru Manzese jijini Dar es Salaam wiki ijayo, wajumbe wa mitaa ya Mwembeni na Midizini wamegoma kushiriki shindano la...
na Deogratius Temba
KIKAO cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika jana Ikulu jijini Dar es Salaam, kimeikwamisha Kamati ya Bunge ya Kudumu ya Miundombinu kujadili utendaji hafifu wa Kampuni ya...
Laxity in vehicle inspection costs govt 12bn/-
By Felister Peter
23rd January 2010
BS given three months to ensure all car imports screened locally
Tanzania Bureau of Standards(TBS)...
Sasa kusema serekali inapuuza maagizo ya Bunge si ndio kusema kama unapuuza matakwa ya wananchi.Ikiwa Bunge ndio linawakilisha wananchi, na wanapigia kelele wabunge ndio kilio cha wanyonge na...
Mbunge wa Maswa, John Shibuda (CCM), amebadili msimamo wake na safari hii ameibuka na kumpigia debe Rais Jakaya Kikwete.
Akizungumza wakati wa ziara ya Rais Kikwete mkoani Shinyanga juzi, Mbunge...
Uteuzi wa Wagombea upo katika ngazi mbili: Uteuzi wa Wagombea katika Vyama na Uteuzi wa Wagombea katika Tume ya Uchaguzi. Uteuzi wa ndani ya vyama unasimamia na katiba, kanuni na taratibu za vyama...
SHEIKH YAHYA AMETUMWA NA NANI?
KAMA kuna watu walioibua mijadala mizito kutokana na kutoa hoja mufilisi katika kipindi cha mwaka jana miongoni mwao ni Sheikh Yahya Hussein aliyetabiri...
Ndugu wana JF, sijaona thread yoyote inayozungumzia hoja ya mgombea binafsi. Naona hoja hii ina maana kubwa sana kwa watu wenye kutaka kuingia kwenye siasa ila wanakwamishwa na mambo ya vyama...
KWA kuwa siasa (nikimaanisha siasa safi) ni hitaji muhimu la maendeleo kama alivyowahi kusema hayati Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere; basi uendeshwaji wa uchaguzi (kwa maana ya uchaguzi huru...
Na Sadick Mtulya
Mwananchi
Januari 19, 2010
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Mashirika ya Umma (POAC), imepanga keshokutwa kuwa siku ya kumwita gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT)...
Nimetaarifiwa kuwa Muda si mrefu rais JK ataingia hospital ya bugando mwanza kuwaona majeruhi wa ukerewe na wale askari waliopata ajali shinyanga.
Yeyote aliyekaribu na maeneo hayo atupe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.