Staff wa idara hii wako so detached from the real world na nashangaa hakuna anayewamulika
Anyway by definition UFISADI ni pamoja na kuikosesha au kuchelewesha kwa makusudi serikali mapato au...
Tanzanian president sees bright future for relations with Turkey
2010-02-18
http://pambazuka.org/en/category/africa_china/62356
Speaking to Turkish journalists ahead of a four-day official...
Miaka mitano ya urais wa JK ndio hiyo inaelekea kuisha. Kuna kila dalili kuwa atapendekezwa na chama chake kugombea nafasi hiyo kwa kipindi kingine cha miaka mitano. Na pengine akaendelea kuwa...
Wanaharakati watishia kuzuia uchaguzi 2010
Na Richard Makore; 17th February 2010
Mkurugenzi wa LHRC, Francis Kiwanga
Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), kinatarajia kwenda...
Opposition faults CCM stance on MPs` tenure
By The guardian team
19th February 2010
Chadema Secretary General Dr Wilbrod Slaa.
Opposition parties have challenged the decision by CCM's...
nimeshangazwa na kitendo cha kikwete kuzuia wenyeviti wa kata na wilaya wa ccm wasiwapigie kampeni wabunge katika kikao hicho hicho guninita na makamba wanampigia yeye kampeni za kuwa mgombea...
Zanzibar House of Representatives Speaker Pandu Ameir Kificho declared yesterday that the planned referendum on the formation of a coalition government in the Isles will be conducted before the...
Huyu jamaa si uwongo anajitahidi sana, ni mzalendo wa kweli na haogopi lolote,mwanaharakati na kiukweli sio mnafki hata kidogo...tumeona maandamano mengi sana yakipangwa na kuratibiwa na yeye...he...
Kikwete leaves for Turkey, Jordan
PRESIDENT Jakaya Kikwete left for Turkey today, where he will be on a three-day official tour at the invitation of his counterpart Abdallah Gul.
A statement...
Hvii mtu akiwa Rais kila siku anapaswa kuwasiliana na nani? Je, siku inaweza kupita kwa usalama kabisa bila kuwasiliana walau kwa simu na hawa:
1. Waziri Mkuu
2. Mkuu wa Majeshi
3. Mkuu wa...
Barrick plans London listing for African assets
By Matthew Kennard
Published: February 18 2010 15:46 | Last updated: February 18 2010 17:26
Barrick Gold of Canada, the worlds largest...
Naomba msinichukulie kama mkosoaji wa kila kitu,ila katika mambo ya msingi watanzania tumedhihirisha udhaifu uliokithiri.ajabu!! hata afya zetu na wanetu tunaleta siasa na ufisadi!!??
Nilikuwa...
Ndugu Watanzania,
Dalili zilizowahi kuonekana huko Rwanda kabla ya Mauaji ya Halaiki, Somalia kabla ya Kuvunjika kwa Dola na Sudan katika kipindi hiki cha Kugawanyika kwa Taifa zinajitokeza...
Hapo Zamani za kale kulifanyika uchaguzi wa kiongozi watu!
Kiongozi huyo alitakiwa kuwa na sifa zifuatazo:
-Awashinde wote kwa Mali,
-Awashinde wote kwa Akili,
-Awashinde wote kwa Urefu...
(kutoka Gazeti la Habari Leo)
WANAHARAKATI wa usawa wa jinsia, haki za binadamu na demokrasia, wamedai Bunge limeshindwa kutekeleza wajibu wake wa kuisimamia Serikali kwa kuridhia kuzika masuala...
Walter Sawe
TANGU Serikali ya Awamu ya Nne iingie madarakani (2005), nimekuwa nikifuatilia staili ya Chama tawala Cha Mapinduzi (CCM), kinavyotumia njia mbalimbali kujisafisha.
Hakuna...
Awamu ya nne ndiyo hiyo imeisha. Katika michezo(inabidi nitumie mfano huu) kila msimu ukiisha kuna tuzo mbali mbali wattu hupewa. Saa nyingine pia hata wale waliyo fanya vibaya wana kuwa na tuzo...
Watu 17 wa Ukoo Mmoja wakiwemo watoto wadogo, wameuwawa kwa kucharangwa mapanga usiku wa manane wa kuamkia leo huko Musoma.
Kwa mujibu wa Radio One Breaking News asubuhi hii, mauaji hayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.