nimeshangazwa na kitendo cha kikwete kuzuia wenyeviti wa kata na wilaya wa ccm wasiwapigie kampeni wabunge katika kikao hicho hicho guninita na makamba wanampigia yeye kampeni za kuwa mgombea pekee , sijui wanasiasa wetu wanajisahau au wanatatizo la ubinafsi
sijui na kikwete anajisahau au anapelekeshwa,
naomba na kikwete azuiwe kufanya kampeni ndani ya chama la sivyo wote waruhusiwe
sijui na kikwete anajisahau au anapelekeshwa,
naomba na kikwete azuiwe kufanya kampeni ndani ya chama la sivyo wote waruhusiwe