Mkuki kwa nguruwe na si kwa kikwete

Godwine

JF-Expert Member
Jan 15, 2010
1,371
281
nimeshangazwa na kitendo cha kikwete kuzuia wenyeviti wa kata na wilaya wa ccm wasiwapigie kampeni wabunge katika kikao hicho hicho guninita na makamba wanampigia yeye kampeni za kuwa mgombea pekee , sijui wanasiasa wetu wanajisahau au wanatatizo la ubinafsi


sijui na kikwete anajisahau au anapelekeshwa,

naomba na kikwete azuiwe kufanya kampeni ndani ya chama la sivyo wote waruhusiwe
 
nimeshangazwa na kitendo cha kikwete kuzuia wenyeviti wa kata na wilaya wa ccm wasiwapigie kampeni wabunge katika kikao hicho hicho guninita na makamba wanampigia yeye kampeni za kuwa mgombea pekee , sijui wanasiasa wetu wanajisahau au wanatatizo la ubinafsi


sijui na kikwete anajisahau au anapelekeshwa,

naomba na kikwete azuiwe kufanya kampeni ndani ya chama la sivyo wote waruhusiwe
Kha baba umelonga
 
nimeshangazwa na kitendo cha kikwete kuzuia wenyeviti wa kata na wilaya wa ccm wasiwapigie kampeni wabunge katika kikao hicho hicho guninita na makamba wanampigia yeye kampeni za kuwa mgombea pekee , sijui wanasiasa wetu wanajisahau au wanatatizo la ubinafsi


sijui na kikwete anajisahau au anapelekeshwa,

naomba na kikwete azuiwe kufanya kampeni ndani ya chama la sivyo wote waruhusiwe
asante kwa kuliona hilo, hakika hatujawahi kumuona JK akiwakemea wanachama wanaofanya mambo yakipuuzi yakumtangaza kuwa mgombea pekee wakati kuna wanaCCM ambao wamejitangaza kugombea Urais 2010, wanawatisha, na kuna kampeni kubwa zinaendelea chini kwa chini juu ya kuzuia haki ya wanaCCM wengine kugombea, hakika mkuki kwa kunguruwe........Awaambie kwa kuwakaripia kina makamba, CHILIGATI waache kutisha wenzao
 
nimeshangazwa na kitendo cha kikwete kuzuia wenyeviti wa kata na wilaya wa ccm wasiwapigie kampeni wabunge katika kikao hicho hicho guninita na makamba wanampigia yeye kampeni za kuwa mgombea pekee , sijui wanasiasa wetu wanajisahau au wanatatizo la ubinafsi


sijui na kikwete anajisahau au anapelekeshwa,

naomba na kikwete azuiwe kufanya kampeni ndani ya chama la sivyo wote waruhusiwe

Mbona sioni ulipoandika kwamba Kikwete anafanya kampeni . Mbona thread inaeleaelea tutachangia vipi sasa. Halafu facts hazipo kabisa kwenye hii thread au uko under 18; pengine uirekebishe hii thread au uifute kabisa inakuchoresha.
 
Mbona sioni ulipoandika kwamba Kikwete anafanya kampeni . Mbona thread inaeleaelea tutachangia vipi sasa. Halafu facts hazipo kabisa kwenye hii thread au uko under 18; pengine uirekebishe hii thread au uifute kabisa inakuchoresha.

Aifute kivipi sasa? isome vizuri ndugu usidandie mshale.
 
Aifute kivipi sasa? isome vizuri ndugu usidandie mshale.

Nyani kwa kuogopa mishale! mwenzio mimi nadaka mishale. lakini bila kuwa na ajenda yako kichwani hii thread inahitaji marekebisho, imejichanganya mno. Anatakiwa aainishe mambo ili ieleweke tunachangia nini na kwa facts zipi.
 
Mbona sioni ulipoandika kwamba Kikwete anafanya kampeni . Mbona thread inaeleaelea tutachangia vipi sasa. Halafu facts hazipo kabisa kwenye hii thread au uko under 18; pengine uirekebishe hii thread au uifute kabisa inakuchoresha.
kafanya jana kwa kutangaza atashinda ila hajui kwa asilimia ngapi ilhali hajateuliwa bado kuwa mgombea kwa tiketi ya CCM
 
Nyani kwa kuogopa mishale! mwenzio mimi nadaka mishale. lakini bila kuwa na ajenda yako kichwani hii thread inahitaji marekebisho, imejichanganya mno. Anatakiwa aainishe mambo ili ieleweke tunachangia nini na kwa facts zipi.

Wewe basi utakuwa ni mtambo. kama umeshindwa kuoanisha heading ya thread na maelezo aliyoyaandika jamaa.na basi utakuwa ushasahau na kiswahili chenyewe .rudi nyumbani hata mara moja cio mnazamia tu huko,cheki hata methali ushazisahau.
 
Wewe basi utakuwa ni mtambo. kama umeshindwa kuoanisha heading ya thread na maelezo aliyoyaandika jamaa.na basi utakuwa ushasahau na kiswahili chenyewe .rudi nyumbani hata mara moja cio mnazamia tu huko,cheki hata methali ushazisahau.

Mpaka leo nimeamini hakuna ninja anaweza kukwepa jiwe la Nyani. Unarusha kama hurushi vile.

Unapoandika thread lazima ujue wengine ni mitambo, sasa nyinyi mnaandikia ma-genius tu. Swali; Hao wanaojipendekeza kupiga kampeni ni kwamba wametumwa na kikwete? kuna facts?

Bila facts tutarusha mishale tukute kumbe tunapiga Nyani wetu bure. Na tatizo la Nyani ukimkosa hama mji.
 
NINJA
Kama angekuwa ajawatuma angewakataza kama anavyowakataza wenyeviti wa kata na wilaya lakini wakati makamba na guninita wanatoa hoja hiyo yeye alikuwepo pembeni akiendelea kutabasamu na mwisho wa hotuba ya makamba iliyomtangaza mgombea pekee walikumbatiana kwa furaha
 
nimeshangazwa na kitendo cha kikwete kuzuia wenyeviti wa kata na wilaya wa ccm wasiwapigie kampeni wabunge katika kikao hicho hicho guninita na makamba wanampigia yeye kampeni za kuwa mgombea pekee , sijui wanasiasa wetu wanajisahau au wanatatizo la ubinafsi


sijui na kikwete anajisahau au anapelekeshwa,

naomba na kikwete azuiwe kufanya kampeni ndani ya chama la sivyo wote waruhusiwe
Kikwete hagombei Chadema hivyo wewe mwana Chadema huna mamlaka ya kuhoji kampeni ya chama kisichokuhusu.Pilipili ipo shamba wewe yakuwashia nini?Au mmezoea udaku!
 
Mpaka leo nimeamini hakuna ninja anaweza kukwepa jiwe la Nyani. Unarusha kama hurushi vile.

Unapoandika thread lazima ujue wengine ni mitambo, sasa nyinyi mnaandikia ma-genius tu. Swali; Hao wanaojipendekeza kupiga kampeni ni kwamba wametumwa na kikwete? kuna facts?

Bila facts tutarusha mishale tukute kumbe tunapiga Nyani wetu bure. Na tatizo la Nyani ukimkosa hama mji.

Mku Nguli heshima mbele,unaonekana wewe huna jazba.big up!! turudi kwenye thread yetu.
 
NINJA
Kama angekuwa ajawatuma angewakataza kama anavyowakataza wenyeviti wa kata na wilaya lakini wakati makamba na guninita wanatoa hoja hiyo yeye alikuwepo pembeni akiendelea kutabasamu na mwisho wa hotuba ya makamba iliyomtangaza mgombea pekee walikumbatiana kwa furaha

Unaona sasa, mimi nasoma thread bila kusoma kichwa cha habari yenyewe. Kumbe ishu zinaanzia kichwani! Sasa nimekupata.
 
PENGO

lengo si kuulizana wewe chama gani, lengo ni kujadili misingi ya siasa za haki na usawa kama mwenyekiti akitokea hawatendei haki wanachama wake hii ni hatari, na itadidimiza demokrasia ya nchi nzima kwani rais akitoka katika chama chochote basi anakuwa ni rais wa tanzania na si wa ccm,
 
nimeshangazwa na kitendo cha kikwete kuzuia wenyeviti wa kata na wilaya wa ccm wasiwapigie kampeni wabunge katika kikao hicho hicho guninita na makamba wanampigia yeye kampeni za kuwa mgombea pekee , sijui wanasiasa wetu wanajisahau au wanatatizo la ubinafsi


sijui na kikwete anajisahau au anapelekeshwa,

naomba na kikwete azuiwe kufanya kampeni ndani ya chama la sivyo wote waruhusiwe
Ndiyo maana amekataza[kistaarabu] maana muda wa shughuli hizo haujawadia.
 
UUUUMMHHH. this leaves a lot to be thought about. Preach Water and you drink milk and honey and wine!
 
kafanya jana kwa kutangaza atashinda ila hajui kwa asilimia ngapi ilhali hajateuliwa bado kuwa mgombea kwa tiketi ya CCM

Hii ngoja niitafute sijaipata hiyo. Kama kafanya hivyo inabidi makamu wa Rais amsaidie kazi 'by reasons of being incapacitated'. Tunatarajia asilimia 90% ya anachozungumza kwenye hotuba kiwe kimefanyiwa re-hearsal kabla. Mfano wake ni brainstorming ambayo Rais hufanyiwa kabla ya kwenda ziarani na kuhutubia:

'' mheshimiwa rais hakikisha hutaji neno fisadi kwenye hotuba yako, usizungumzie kabisa CCJ kwa kuitaja wala kuiashiria, usifanye jambo lolote litakaloashiria kwamba unapiga kampeni, waandishi wa habari utakaokubali maswali yao ni Andrew Mtekete, Bahati Hasanasamza na bi Havinisumbui Omari Mkakati. Picha zao ni hizo hapo, unawafahamu vizuri tu."

Haya ni mambo ya itifaki na habari Ikulu, sasa haya makosa ya mara kwa mara yaliyozidi ukawaida, tatizo litakuwa ni nini. Isije kuwa kuna tatizo kubwa tunachelewa kulitatua, safari hii kwa mfano atakapoanguka tena kama ilivyo kawaida yake sasa huenda asiinuke tena.

Kuchanganya mambo( ile thread ya hotuba za Kikwete,kwamba red cross ni serikali) + kuanguka anguka(wengine wana hizi picha kwenye simu zao kama ringtone) + kukosea kuchagua wasaidizi kwa makusudi (Angalia baraza la mawaziri aliloanza nalo na hili la sasa, kabadilisha mara ngapi; alikuwa hawajui?)=Alzheimer disease +incapacitated +co17

Kama sivyo Ikulu ituambie nini kinaendelea. Hii inatushtua wananchi.
 
NINJA
Kama rais akizoea kufanya mazoezi ya vitu anavyotaka kusema je siku moja akishtukizwa maswali ya papo kwa hapo nani atamsaidia kujibu, au atajibiwa na wapigadebe wake? au ndio maana ameanza kampeni mapema hili iwe kama mazoezi binafsi ya kampeni zijazo?
 
Back
Top Bottom