Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Ufaransa yatoa Sh 100 mil kusaidia Kilosa Fredy Azzah (mwananchi) UFARANSA kupitia ubalozi wake nchini, imetoa Sh100 milioni, kuwasaidia watu walioathiriwa na wa mafuriko wilayani Kilosa...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Nipashe: Waziri wa zamani wa Nishati na Madini, Bw. Daniel Yona, amejitetea kuwa hakukataa kuhojiwa na Kamati Teule ya Bunge ya kuchunguza zabuni tata ya kampuni ya Richmond, kwa maelezo kuwa...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Kambi za Lowassa, Sitta zadaiwa kuipasua CCM HERI wapatanishi maana hao wataitwa wana wa Mungu. Huo ni usemi katika kitabu kitakatifu cha Biblia. Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)...
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Are these people like Medusa? how can they even function with this level of corruption? Its as if somebody out there is dreaming about a newer way of siphoning the public money at warp speed! From...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Where is the outrage? picha iko hapa: http://issamichuzi.blogspot.com/2010/02/zahanati-ya-hekima-matatani.html#comments Baadhi ya vifaa vya Zahanati ya Hekima iliyopo katika mtaa wa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
I have been wondering (I tend to do that a lot) about the most recent aid package from the US; I mean the almost 700 Million Dollars from the MCA that is intended for infrastructure development...
0 Reactions
185 Replies
21K Views
Edward Kinabo NDUGU wananchi, nimetoa mchango wangu wa fikra kwa muda sasa, nikijaribu kuchochea wajibu na haki za raia katika kufanikisha ukombozi mpya wa taifa hili dhidi ya ujinga...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Mkandarasi aliyepewa zabuni ya kujenga barabara ya bagamoyo- msata yenye urefu wa km 64, ambayo ni kiungo muhimu kati ya dsm kwenda mikoa ya kaskazini kupitia bagamoyo sasa amefilisika rasmi...
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Msekwa asema chanzo cha mgogoro ni Richmond na Mwandishi Wetu HATIMAYE lile kundi la wabunge wapambanaji wa vita dhidi ya ufisadi, limesambaratishwa na kuondoa tofauti zilizolitikisa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Jana tulimsikia Makamu Mwenyekiti wa CCM (Tanzania Bara) Pius Msekwa akizungumza na waandishi wa habari Dodoma kuhusu usuluhishi wa makundi ndani ya Chama Tawala. Pamoja na mengine Mzee Msekwa...
0 Reactions
0 Replies
968 Views
NImesikia juzi ati Mkuu wa Mkoa wa Rukwa amesema kuwa yuko tayari kujiuzulu endapo uongozi ulio juu yake utaamua afanye hivyo kufuatia wizi wa vocha za mbolea zenye thamani ya Tsh bilioni 6...
0 Reactions
70 Replies
8K Views
I am concerned that Tanzania's 'development partners' may be pumping hundreds of millions of USDs of their taxpayers money into the corrupt purchase of the 2010 presidential and parliamentary...
0 Reactions
33 Replies
3K Views
Na, Antar Sangali, Bagamoyo [www.bongotz.com] Ili kuepuka utata na kuweka mazingira bora ya kufanyika kwa uchaguzi huru na wa haki visiwani, hatimaye kila pande kisiasa ziridhike na matokeo, kuna...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Ni jambo la kushangaza sana kuona tangu kuanzishwa kwa mfumo wa vyama vingi TZ, vyama vya upinzani vimekuwa vikididimia wakati CCM ikizidi kushamiri na "kushinda" kila uchaguzi kwa vishindo...
0 Reactions
30 Replies
3K Views
Nimekuwa najiuliza maswali mengi kuhusu hizi nchi zetu za Kiafrika nakosa majibu,hivi inakuwaje tunashabikia maendeleo ya nchi za magharibi na kudharau kabisa nchi zetu,mfano mzuri ni kwenye...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Enzi zile za chekechea na darasa la kwanza (kabla ya 1980) tulisoma kwenye kitabu jamii fulani ikitafuta kiongozi: Awe mrefu kuliko wote Awe mlimbwende kuliko wote Awe na akili kuliko wote Awe...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Hakuna sababu ya kuendelea na Taifa la Tanzania kama Jamhuri (ya muungano au vinginevyo). Tanzania ni nchi dhaifu, maskini, dunia ya tatu, ambayo haiwezi kabisa kupambana na nchi za magharibi...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Napenda kuanza kwa kusikitika ninapoona mtanzania hasa mwenye dhamana kubwa kama mhariri wa gazeti linalosomwa na watanzania idadi ya kutosha akiingilia kupiga kampeni ambayo hana utaalamu nayo...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Waungwana, Maboksi yamenishinda, narudi nyumbani na narudi kuanzisha chama. John Tendwa naomba ajiandae kwa ujio wa Mchungaji. Chama changu kinalenga kuleta maendeleo kwa Mtanzania na si kwa...
0 Reactions
167 Replies
14K Views
Mussa Juma, Arusha MKE wa Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Wilbroad Slaa, Rose Kamili, ambaye Diwani wa CCM wa Kata ya Bassotu, wilayani Hanang, amelituhumu jeshi la polisi wilayani Hanang kutumika...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Back
Top Bottom