Ufaransa yatoa Sh 100 mil kusaidia Kilosa
Fredy Azzah (mwananchi)
UFARANSA kupitia ubalozi wake nchini, imetoa Sh100 milioni, kuwasaidia watu walioathiriwa na wa mafuriko wilayani Kilosa...
Nipashe:
Waziri wa zamani wa Nishati na Madini, Bw. Daniel Yona, amejitetea kuwa hakukataa kuhojiwa na Kamati Teule ya Bunge ya kuchunguza zabuni tata ya kampuni ya Richmond, kwa maelezo kuwa...
Kambi za Lowassa, Sitta zadaiwa kuipasua CCM
HERI wapatanishi maana hao wataitwa wana wa Mungu. Huo ni usemi katika kitabu kitakatifu cha Biblia.
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)...
Are these people like Medusa? how can they even function with this level of corruption? Its as if somebody out there is dreaming about a newer way of siphoning the public money at warp speed! From...
Where is the outrage?
picha iko hapa:
http://issamichuzi.blogspot.com/2010/02/zahanati-ya-hekima-matatani.html#comments
Baadhi ya vifaa vya Zahanati ya Hekima iliyopo katika mtaa wa...
I have been wondering (I tend to do that a lot) about the most recent aid package from the US; I mean the almost 700 Million Dollars from the MCA that is intended for infrastructure development...
Edward Kinabo
NDUGU wananchi, nimetoa mchango wangu wa fikra kwa muda sasa, nikijaribu kuchochea wajibu na haki za raia katika kufanikisha ukombozi mpya wa taifa hili dhidi ya ujinga...
Mkandarasi aliyepewa zabuni ya kujenga barabara ya bagamoyo- msata yenye urefu wa km 64, ambayo ni kiungo muhimu kati ya dsm kwenda mikoa ya kaskazini kupitia bagamoyo sasa amefilisika rasmi...
Msekwa asema chanzo cha mgogoro ni Richmond
na Mwandishi Wetu
HATIMAYE lile kundi la wabunge wapambanaji wa vita dhidi ya ufisadi, limesambaratishwa na kuondoa tofauti zilizolitikisa...
Jana tulimsikia Makamu Mwenyekiti wa CCM (Tanzania Bara) Pius Msekwa akizungumza na waandishi wa habari Dodoma kuhusu usuluhishi wa makundi ndani ya Chama Tawala. Pamoja na mengine Mzee Msekwa...
NImesikia juzi ati Mkuu wa Mkoa wa Rukwa amesema kuwa yuko tayari kujiuzulu endapo uongozi ulio juu yake utaamua afanye hivyo kufuatia wizi wa vocha za mbolea zenye thamani ya Tsh bilioni 6...
I am concerned that Tanzania's 'development partners' may be pumping hundreds of millions of USDs of their taxpayers money into the corrupt purchase of the 2010 presidential and parliamentary...
Na, Antar Sangali, Bagamoyo [www.bongotz.com]
Ili kuepuka utata na kuweka mazingira bora ya kufanyika kwa uchaguzi huru na wa haki visiwani, hatimaye kila pande kisiasa ziridhike na matokeo, kuna...
Ni jambo la kushangaza sana kuona tangu kuanzishwa kwa mfumo wa vyama vingi TZ, vyama vya upinzani vimekuwa vikididimia wakati CCM ikizidi kushamiri na "kushinda" kila uchaguzi kwa vishindo...
Nimekuwa najiuliza maswali mengi kuhusu hizi nchi zetu za Kiafrika nakosa majibu,hivi inakuwaje tunashabikia maendeleo ya nchi za magharibi na kudharau kabisa nchi zetu,mfano mzuri ni kwenye...
Enzi zile za chekechea na darasa la kwanza (kabla ya 1980) tulisoma kwenye kitabu jamii fulani ikitafuta kiongozi:
Awe mrefu kuliko wote
Awe mlimbwende kuliko wote
Awe na akili kuliko wote
Awe...
Hakuna sababu ya kuendelea na Taifa la Tanzania kama Jamhuri (ya muungano au vinginevyo). Tanzania ni nchi dhaifu, maskini, dunia ya tatu, ambayo haiwezi kabisa kupambana na nchi za magharibi...
Napenda kuanza kwa kusikitika ninapoona mtanzania hasa mwenye dhamana kubwa kama mhariri wa gazeti linalosomwa na watanzania idadi ya kutosha akiingilia kupiga kampeni ambayo hana utaalamu nayo...
Waungwana,
Maboksi yamenishinda, narudi nyumbani na narudi kuanzisha chama. John Tendwa naomba ajiandae kwa ujio wa Mchungaji.
Chama changu kinalenga kuleta maendeleo kwa Mtanzania na si kwa...
Mussa Juma, Arusha
MKE wa Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Wilbroad Slaa, Rose Kamili, ambaye Diwani wa CCM wa Kata ya Bassotu, wilayani Hanang, amelituhumu jeshi la polisi wilayani Hanang kutumika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.