kinepi_nepi
JF-Expert Member
- Aug 16, 2007
- 869
- 239
CCJ wamesema leo kwenye mkutano wa kukabidhi form ya kinyang'anyiro cha ubunge wa ubongo kuwa wanaungana na Chadema.
CCJ wamesema leo kwenye mkutano wa kukabidhi form ya kinyang'anyiro cha ubunge wa ubongo kuwa wanaungana na Chadema.
Maigizo at best. Mwanakijiji yupo wapi afanye clarufikesheni.
Ha ha haaa , Mtego huo hapa wanagombanishwa watu, ha ha ha ili ionekane CHADEMA imeiwekea CCJ kauzibe isisajiliwe teh teh teh, hamna kitu hapo
Bad move for a CCJ kwasababu CCJ and Chadema wana ideology tofauti swali linakuja wataendana? Labda wameshakubaliana but nadhani it is a time bomb
Hata Conservative wakati wanafanya kampeni hawakujua watakuja ungana na Liberal.Bad move for a CCJ kwasababu CCJ and Chadema wana ideology tofauti swali linakuja wataendana? Labda wameshakubaliana but nadhani it is a time bomb
Demokrasia huwa haisubiri haiwezi kuacha gape lazima iji fix mahali, ikiacha gape linajazwa na aidha utawala wa kijeshi au wa kidikteta au wa kiimla, unapowaambia wanachama wasubiri hadi 2015 wakati huo watakuwa wanafanya nini.Kama CCJ wamekwama kwenye usajili wasubiri hadi 2015 wakati wanajiandaa kupata usajili wa kudumu. Kujiunga na vyama vingine na watu wao kutimkia kwenye vyama vingine ili kugomea udiwani/ubunge ni kuangalia kwenye pua. Huwezi kumwambia mchumba wako kwamba unaenda ngambo kusoma, meanwhile, akakae na bwana mwingine mpaka utakapo rudi masomoni. Ukirudi utamkuta si wako!