Si unaandika mapema kwa walioko UK? Wengine tunaingia kichwa kichwa kumbe mlangoni pameandikwa "FOR UK ONLY....." Ngoja sisi wa Sikonge tukanywe Gongo tu.
kwani unafikiri nikiwa mtaani nitajitambulisha kuwa mimi ni mtz hapa UK..subutu, bora tu niseme mimi ni mnyarwanda/mrundi au mganda...mbona aibu hii tutaficha wapi nyuso zetu na selikali bado inawalinda hawa waganga wa kienyeji, wachawi washirikina na wasoma nyota?
Nitaingalia kwa saa za Sydney, Australia kesho Alhamis saa tatu usiku.
Inaonyweshwa muda huo hata na watoto wengi wasiione pengine wawe wameshalala kwani inatisha.
nafikiria jinsi watoto watakavyojiuliza labda ilikuwa ni filamu ambazo huwa ni finction na pindi wanapojua ni kweli watoto wenzao waliuliwa, ndipo watakapoichukia Africa kwa maisha yao yote.
Nafikiri itakuwa vihoja vya kaboka mchizi. Nitawajulisha hapo baadae.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.