Ndg zangu wana JF, Tangu nimezaliwa sijawahi hata kuwa monitor darasani lakini katika mshangao jana wakati natoka kazini nilikuta kamati ya wazee nyumbani ikinisubiri kunipa gud news kuwa...
Wana JF,
Ninapenda kusema haya machache tuu kwa wafanyakazi wa TAKUKURU, Kuwa hii kazi yao waliyoifanya kipindi cha kura za maoni naona waliishindwa 100% kwanini,
Ntaanza na maswali machache...
Naona kata za KARIAKOO watakuwa wanaongoza kwa kufanyiwa uhuni kura za maoni
na natabiri hawa watakuwa wanaongoza kwenye kuzirejesha kadi za CCM
Ya nini kwenda mbai? Tafuteni chimbuko la DR...
Chanzo cha Habari hii ni Gazeti la Tanzania Daima;13 August 2010
walidai inaonyesha wazi kuwa chama kimekuwa na tabia ya kumbeba Chiligati kwa kuwa anayo nafasi kubwa katika chama hicho jambo...
Link hii inaonyesha Shein na Bilal wakipita kwenye mitaa ya Zanzibar na Pemba
"http://www.youtube.com/v/fw3L02j_lGM"
Link hii inaonyesha Kikwete na Makamba wakimtaja kwa jina mgombea fulani...
Chini na juu tano barabara kujenga nimeamua magumu yamakuwa mambo kuona ya baada Juha mzee. chini na juu barabara nitajenga umepaa uchumi unasema matongotongo kutoa ya kabla asubuhi unaamka mtu...
Was it not only yesterday that we couldn't open our mouths without endangering our lives? I recall vividly my life as a liberal, beer-drinking undergraduate who would be lovingly cautioned by...
Binafsi kauli ya TUCTA sioni kama inaniwakilisha mie km mfanyakazi wa Umma. Kiuhalisia katika mambo ambayo nilitarajia TUCTA ifanye si la kunishawishi nani awe kiongozi wangu bali kutetea maslahi...
Ingawa uchaguzi wa kura za maoni CCM umeshafanyika na mbunge anayeshikilia kiti hicho ndugu Abdulkarim Sha au BULJI alimshinda OMAR KIMBAU lakini katika kuonyesha kutoridhishwa kwa maamuzi ya...
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam Juma Simba Gadafi (mwenye baraghashia kichwani) akijaribu kuwatuliza wana CCM kutoka Kata ya Mchikichini Ilala na Miburani Temeke...
Katika uchaguzi mkuu ujao,Watanzania watakuwa na sababu nyingi za kuiondoa CCM madarakani kuliko za kuirejesha tena.Makala moja haiwezi kutosha kutaja sababu zote kwani ni nyingi mno.Hata...
Ndugu wadau, kwa mtizamo wangu, naona kwamba huyu mheshimiwa anajipendekeza mno kwa CCM/serikali.... Chukulia mfano wa matukio haya:....jinsi alivyocheza ngoma wakati wa ziara ya Rais na kumsifu...
Hivi haya maandamano ya kila siku ya wana ccm wamechanganyikiwa ama nini
jamani tbc tumechoka kuwaona kama chama kina matapeli kwa nini usihame
nilitarajiaa maandamano haya yangeongozwa na watu...
From The East African
Beyond Kikwete: Will the slighted Slaa be the star of the succession script?
By Jenerali Ulimwengu
July 26 2010
When, in 1995, Dr Wilbrod Slaa, a defrocked priest, won...
Nitafurahia kusikia takukuru wanawakamata wagombea wa igunga,nzega,kahama,vunjo,kyela,urambo,monduli ambako kumeripotiwa rafu za waziwazi wakati wa uchaguzi,kamatakamta yao isiendeshwe kwa misingi...
Duh
kweli mtoto wa mwizi ni mwizi kumradhi ccm,ilakwa stetimenti ya makamu wenu mbele ya taarifa ya habari kwamba mnashangaa nini kuona ccm kuna watoa rushwa ati rushwa ipo kila sehemu
nakuja...
NAIBU mkuu wa kitengo cha propaganda wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Richard Tambwe amesema Rais Jakaya Kikwete hajawahi hata mara moja kukataa kura za kundi lolote la jamii, wakiwemo wafanyakazi...
Habari kutoka Buasanda zinasema mbunge aliyemaliza mda wake LOLENSIA(CCM) tayari imedhibitika hawezi kushinda kwenye uchaguzi mkuu mwaka huu.....na badala yake wananchi wa Busanda wamejiandaa...
By BNO News
August 10, 2010
A U.S. interagency delegation held consultations in Dar es Salaam with Tanzanian officials in order to discuss a range of nuclear-related topics, the State Department...
Mmoja ya wagombea ubunge kwenye jimbo la sikonge ni balozi David Kapya ambaye alikuwa anafanya kazi kwenye shirika la UNHCR na sasa yupo Office ya rais mstaafu Benjamin W. Mkapa.
Kesho ndio...