Mag3
Platinum Member
- May 31, 2008
- 13,064
- 22,757
Mwenyekiti wa CUF wilaya ya Mbeya Mjini, Yasin Mrotwa amesema hivi sasa wanaendelea na mazungumzo na mmoja wa wanachama wa CCM, Prince Mwaihojo kumuomba ili asimame kugombea ubunge wa Mbeya Mjini kwa niaba ya vyama hivyo.
Naona CUF yazidi kumeremeta katika ndoa yake na CCM - ndoa yazidi kunoga !
Naona CUF yazidi kumeremeta katika ndoa yake na CCM - ndoa yazidi kunoga !