Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Idadi kubwa ya wanafunzi wa vyuo vikuu, pamoja na wale wa sekondari nchini Tanzania wamenyimwa haki yao ya msingi ya kushiriki ktk kumchagua Rais wa taifa hili, atakaye waongoza kwa kipindi cha...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Naileta hii unedited...... Pengo aonya uhusiano wa mapadri na wanasiasa Imeandikwa na Martha Mtangoo, Dodoma; Tarehe: 22nd August 2010 @ 22:30 Imesomwa na watu: 16; Jumla ya maoni: 0...
0 Reactions
53 Replies
6K Views
Mapingamizi mengi yamefunguliwa na wagombea sehemu mbali mbali. Wagombea wa ccm walipomtuhumu mgombea wa upinzani kwa kumwekea pingamizi, yule aliyewekewa pingamizi ndie aliyetakiwa kuwakilisha...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Nilitoa changamoto kwamba nieleweshe ni namna gani tunaweza kuwa na mapato ya ziada yatakayoweza ku-accomodate mshahara wa kima cha chini wa Sh.315,000/=! Kama kawaida yao, hamna aliyejibu hoja...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Don’t celebrate yet,Nec tells ‘unopposed’runners By Mkinga Mkinga Its too early for unopposed parliamentary candidates to celebrate after their rivels were disqualified through...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
1. Mpaka sasa kumekuwa na maswali mengi kuliko majibu kuhusu kuanguka kwa JK jukwaani, hasa nyakati za uchaguzi. 2. Kama kawaida wanasiasa Watz walishapata majibu hata kabla ya JK kuzinduka...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wananchi wengi katika umati mkubwa wa watu waliohudhuria mkutano wa uzinduzi wa kampeni za CCM kule Jangwani siku ya Jumamosi iliyopita walifika hapo baada ya kuliupwa kufanya hivyo. Baadhi...
0 Reactions
34 Replies
3K Views
Uelevu wa watendaji wakuu wa Serikali ya JK kila wakati umekuwa ni kubabaisha tupu. Katika tovuti ya Wizara ya Mambo ya Ndani http://www.moha.go.tz/ambayo inaongozwa na Msomi wa Sheria Laurence...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
ni kawaida binadamu kutofurahia maanguko au mateso ya mtu mwingine waziwazi. lakini kwa nini hili la kikwete nachelea kumsikitikia? ninazo sababu zangu nyingi lakini baadhi tu ni hizi 1...
0 Reactions
48 Replies
5K Views
Tovuti ya BBC Kiswahili inaripoti kuwa wakati kampeni za uchaguzi...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Mojawapo ya faida alizonazo mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM kuelekea uchaguzi mkuu ukiondoa kuwa yeye ni Rais ni ukweli kwamba yeye pia ni Mwenyekiti wa Taifa wa CCM. Hivyo, licha ya kwamba ni...
0 Reactions
54 Replies
5K Views
Kuna habari kuwa aliye wahi kuwa waziri mkuu katika awamu ya tatu ndiye pekee mwenye uwezo wa kuongoza nchi kwa tiketi ya chama cha mapinduzi
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Kuna taarifa kwamba kikao kimoja kimefanyika leo na watu wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) wamepewa jukumu la kuandaa karatasi za ziada za kupigia kura na masanduku. Kikao hicho...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
SIKU tatu baada ya mgombea urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Jakaya Kikwete, kuishiwa nguvu wakati akizindua kampeni za Uchaguzi Mkuu wa chama hicho akiwa jukwaani, jana...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wakati wa kuelekea kampeni za uchaguzi mkuu wa hapa Uingereza kulijitokeza tetesi za wasiwasi kuhusu afya ya aliyekuwa Waziri Mkuu Gordon Brown.Katika kilichotafsiriwa kama kukata mzizi wa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
TUCTA lakebehi kauli ya JK Monday, 23 August 2010 11:48 Na Job Ndomba,Jijini wa Dar Leo SHIRIKISHO la Vyama Vya Wafanyakazi Nchini (TUCTA) limesema kwamba kauli ya Rais Jakaya Kikwete kuwa ni...
0 Reactions
42 Replies
5K Views
Wakulu; Naona kupitia Luninga ITV wanarusha Uzinduzi wa Kampeni za CCM Live
0 Reactions
176 Replies
17K Views
Kwa nini wao tu, mji safi wawe wao, kampeni tulivu wawe wao, kwa nini tusijifunze hizi tamaduni nzuri hapa ndani kwa ndani badala ya kuvuka mipaka...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
:juggle: KAMPENI KUANZA KESHO KTK VIWANJA VYA JANGWANI.....MAANDALIZI NI KABAMBE.....TUFIKE TUSIKIE SERA ZAO...KAMA NI PUMBA AMA MCHELE.....nadhani personaly ntakuwepo kusikiliza namna...
0 Reactions
29 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…