lukubanija
Member
- Aug 9, 2008
- 7
- 0
Kuna habari kuwa aliye wahi kuwa waziri mkuu katika awamu ya tatu ndiye pekee mwenye uwezo wa kuongoza nchi kwa tiketi ya chama cha mapinduzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna habari kuwa aliye wahi kuwa waziri mkuu katika awamu ya tatu ndiye pekee mwenye uwezo wa kuongoza nchi kwa tiketi ya chama cha mapinduzi
Kuna habari kuwa aliye wahi kuwa waziri mkuu katika awamu ya tatu ndiye pekee mwenye uwezo wa kuongoza nchi kwa tiketi ya chama cha mapinduzi
Kama si yeye nani unafikiri atateuliwa katika orodha uliyonayo?
Kuna habari kuwa aliye wahi kuwa waziri mkuu katika awamu ya tatu ndiye pekee mwenye uwezo wa kuongoza nchi kwa tiketi ya chama cha mapinduzi
Kuna habari kuwa aliye wahi kuwa waziri mkuu katika awamu ya tatu ndiye pekee mwenye uwezo wa kuongoza nchi kwa tiketi ya chama cha mapinduzi
Aiseeeee kama ulikuwepo hawa ni wale wale wanaleta habari zisizo na kichwa wala kichwa tena bila source.right thing at the wrong time. umetumwa ku-distort attention zetu kwa WS na JK na vita yao ya uraisi.
Kuna habari kuwa aliye wahi kuwa waziri mkuu katika awamu ya tatu ndiye pekee mwenye uwezo wa kuongoza nchi kwa tiketi ya chama cha mapinduzi
Anafaa kuongoza nchi. Hana scandal, ana uzoefu wa miaka kumi kama PM ktk serikali iliyokuwa na mafanikio makubwa, ana integrity, ameongeza elimu itakayomwezesha kuongoza kwa weledi zaidi na pia ni mtu wa watu.
Kama si yeye nani unafikiri atateuliwa katika orodha uliyonayo?
Kuna habari kuwa aliye wahi kuwa waziri mkuu katika awamu ya tatu ndiye pekee mwenye uwezo wa kuongoza nchi kwa tiketi ya chama cha mapinduzi
Huyu junior member kaleta hii maada kupunguza makali ya kudiscuss kampeni
inayoendelea ,vijan wa mkwere hawa ahaaaaaaaaaaa
mna jaaa sana humu kudadadeki