Nilitoa changamoto kwamba nieleweshe ni namna gani tunaweza kuwa na mapato ya ziada yatakayoweza ku-accomodate mshahara wa kima cha chini wa Sh.315,000/=! Kama kawaida yao, hamna aliyejibu hoja mbali ya matusi! Hata hivyo, angalau mtu mmoja akajaribu kukokotoa ni namna gani Sh.315,000 inavyoweza kulipika( Ingawaje mie nilihitaji bajeti ya mapato, na sio matumizi)! Akapiga hesabu zake, na kutoa figa isiyofika hata Trilioni 2 endapo serikali itaamua kulipa kiwango hicho! Mantiki yake ilikuwa kwamba, JK ni muongo kwa madai yake kwamba endapo kima kitapanda hadi Sh.315,000 basi bajeti ya mshahara itakaribia Sh. Trilioni 6 (wakati mapato hayafiki hiyo Trilioni 6!) Akatokea mwana-JF aliyeniona mimi ni sawa na mbumbumbu coz' siwezi kufanya hata simple mathematics!! Mwana JF huyu akaweka assumption kwamba wafanyakazi wa serikali wanafikia laki nne, hivyo kwa mshahara wa Sh.315,000 (xlaki 4) plus zile zinazoenda kwenye pension funds hazifiki hata Trilion 2! Huyu bwana, akanikejeli kwamba eti pamoja na umbumbu wangu sitashindwa kuifahamu hesabu ndogo kama hiyo!!!! Sasa ndo najiuliza, ina maana kima cha chini kikiwa Sh.315,000/= ina maana from hapo gvt salaries zitakuwa flat rates!? Huyu bwana nae, anajigamba eti ni GREATEST THINKER; ingawaje hafahamu kwamba hakuna ki2 kinachoitwa flat rates kwenye mishahara! Huyu bwana na wenzake(Greatest thinkers) hawajui hata kidogo kwamba unavyopandisha mshahara wa chini, almost the whole aggregate payroll ita-shake!
Mimi sina mengi ninayofahamu kuhusu serikalini lakini b4 sijaandika huwa nachunguza kidogo kuliko kukurupuka! According to Tangazo la Kazi lililokuwa limetolewa na Sekretarieti ya Ajira ya Utumishi wa Umma (Daily News April 21,2010) nilikuta the Lowest Grade ni Grade TGOS. A( ambayo slary scale yake ni btn TZS. 104,410 to TZS. 146,570). Grade hii inachukuwa watu kama wasaidizi wa ofisi(wapika chai, wafagizi, and the like) na walinzi! Likewise, fresh graduates wanaanza na Grade D (for non science oriented graduates) ambayo salary yake ni Sh.324,260/= hadi TShs. 401,880) na Grade E (for science oriented graduates) ambayo salary yake ni TZS 408,560/= hadi TZS 505,030! Ikumbukwe, hizo ni grade za chini sana kwenye organization chat! Hivyo basi, tunaposema KCC iwe Sh.315,000/= maana yake ni kwamba Mhudumu wa ofisi alipwe Shs.315,000/=. So, ina maana viwango vingine vibaki vilevile like b4?! Jibu ni kwamba HAIWEZEKANI! Au hata kama vitabaki vilevile, hiyo mantiki ya flat rates ya 315,000/= inatoka wapi?! Jibu lake ni kwamba JF is no longer The Home of Greatest Thinkers, but The Home of Greatest as well as Shallowest Thinkers! Mimi nilinukuu maneno ya JK kwamba endapo KCC itakuwa Sh.315,000 basi bajet ya salary peke yake kwa mwaka itakuwa abt 6 Trilioni! Hesabu za Wana-JF zinaonesha JK ni muongo kv at TSh. 315,000 plus benefits zinazoenda kwenye pension funds, bajeti ya salary itakuwa haifiki hata Sh. Trilioni 2 (kwa assumption kwamba Employees 400,000 @ 315,000/=!!!!!!!!) Ama kweli, wa-TZ tuna safari ndefu! Ikiwa huyu nae anajiita Greatest Thinker, yule aliye Shallowest Thinker atakuwaje?
Yeyote anayehitaji kutoa approximation zake kuhusu bajeti ya salary itakuwaje lazima aangalie yafuatayo!
·Kuna grades ngapi za mshahara and their corresponding salary values
·Kuna wafanyakazi wangapi kwenye kila Grade
·From 104,000 to 315,000 ni increase for abt 200%; kuwe na increase ya % ngapi kwa kila grade iliyosalia!
Ukishapata hayo majibu, ndipo unaanza kukokotoa and not as simple as taking 315,000(KCC) x 400,000(employees)x12(annual budget) and apply MAGAZIJUTO CONCEPTS!!!
Mimi sina mengi ninayofahamu kuhusu serikalini lakini b4 sijaandika huwa nachunguza kidogo kuliko kukurupuka! According to Tangazo la Kazi lililokuwa limetolewa na Sekretarieti ya Ajira ya Utumishi wa Umma (Daily News April 21,2010) nilikuta the Lowest Grade ni Grade TGOS. A( ambayo slary scale yake ni btn TZS. 104,410 to TZS. 146,570). Grade hii inachukuwa watu kama wasaidizi wa ofisi(wapika chai, wafagizi, and the like) na walinzi! Likewise, fresh graduates wanaanza na Grade D (for non science oriented graduates) ambayo salary yake ni Sh.324,260/= hadi TShs. 401,880) na Grade E (for science oriented graduates) ambayo salary yake ni TZS 408,560/= hadi TZS 505,030! Ikumbukwe, hizo ni grade za chini sana kwenye organization chat! Hivyo basi, tunaposema KCC iwe Sh.315,000/= maana yake ni kwamba Mhudumu wa ofisi alipwe Shs.315,000/=. So, ina maana viwango vingine vibaki vilevile like b4?! Jibu ni kwamba HAIWEZEKANI! Au hata kama vitabaki vilevile, hiyo mantiki ya flat rates ya 315,000/= inatoka wapi?! Jibu lake ni kwamba JF is no longer The Home of Greatest Thinkers, but The Home of Greatest as well as Shallowest Thinkers! Mimi nilinukuu maneno ya JK kwamba endapo KCC itakuwa Sh.315,000 basi bajet ya salary peke yake kwa mwaka itakuwa abt 6 Trilioni! Hesabu za Wana-JF zinaonesha JK ni muongo kv at TSh. 315,000 plus benefits zinazoenda kwenye pension funds, bajeti ya salary itakuwa haifiki hata Sh. Trilioni 2 (kwa assumption kwamba Employees 400,000 @ 315,000/=!!!!!!!!) Ama kweli, wa-TZ tuna safari ndefu! Ikiwa huyu nae anajiita Greatest Thinker, yule aliye Shallowest Thinker atakuwaje?
Yeyote anayehitaji kutoa approximation zake kuhusu bajeti ya salary itakuwaje lazima aangalie yafuatayo!
·Kuna grades ngapi za mshahara and their corresponding salary values
·Kuna wafanyakazi wangapi kwenye kila Grade
·From 104,000 to 315,000 ni increase for abt 200%; kuwe na increase ya % ngapi kwa kila grade iliyosalia!
Ukishapata hayo majibu, ndipo unaanza kukokotoa and not as simple as taking 315,000(KCC) x 400,000(employees)x12(annual budget) and apply MAGAZIJUTO CONCEPTS!!!