Ex Spy
JF-Expert Member
- Jan 15, 2007
- 213
- 1,726
Kuna taarifa kwamba kikao kimoja kimefanyika leo na watu wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) wamepewa jukumu la kuandaa karatasi za ziada za kupigia kura na masanduku.
Kikao hicho kimefanyika (mahala tunapahifadhi kwa sasaa) na aliyekabidhiwa ni mwanamama mmoja mwenye jina linaloanza na herufi R na la pili S yaani (RS) wa Kurugenzi ya Mipango TAMISEMI.
More to come
Kikao hicho kimefanyika (mahala tunapahifadhi kwa sasaa) na aliyekabidhiwa ni mwanamama mmoja mwenye jina linaloanza na herufi R na la pili S yaani (RS) wa Kurugenzi ya Mipango TAMISEMI.
More to come