SOKETI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2010
- 206
- 50
Idadi kubwa ya wanafunzi wa vyuo vikuu, pamoja na wale wa sekondari nchini Tanzania wamenyimwa haki yao ya msingi ya kushiriki ktk kumchagua Rais wa taifa hili, atakaye waongoza kwa kipindi cha miaka mitano ijayo.
Hii ni baada ya wengi wao kujiandikisaha kupiga kura wakiwa vyuoni na mashuleni {ktk mikoa mingine} ambayo itawawia vigumu wao kusafiri kwenda ktk mikoa hiyo wakati wa kupiga kura . kwani wakati wa upigaji kura wengi wao watakua bado wamefunga vyuo...................
HULALAAA... NI KUNDI AMBALO LINAMCHANGO MKUBWA NA LINALOTAMBUA UMUHIMU NA MAANA YA UCHAGUZI....TAFAKARI>>>>>>>>>
Hii ni baada ya wengi wao kujiandikisaha kupiga kura wakiwa vyuoni na mashuleni {ktk mikoa mingine} ambayo itawawia vigumu wao kusafiri kwenda ktk mikoa hiyo wakati wa kupiga kura . kwani wakati wa upigaji kura wengi wao watakua bado wamefunga vyuo...................
HULALAAA... NI KUNDI AMBALO LINAMCHANGO MKUBWA NA LINALOTAMBUA UMUHIMU NA MAANA YA UCHAGUZI....TAFAKARI>>>>>>>>>