Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

EXPERIMENTS on rainmaking technology in the country have stalled due to lack of funding, Minister of State in the Vice President’s Office (Environment), Dr Batilda Buriani, said today. Dr Buriani...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Maskini, Tz yetu (si yao)! Pamoja na kuyasikia hayo ya TICTS 'Tiscan' huko bandarini kama yalivyoelezwa na kamati ya bunge miundombinu pia kwenye gazeti la Thisday, KUNA NYINGINE NILIKUTANA...
0 Reactions
30 Replies
5K Views
Jamani wana Wanajf naombeni mnisaidie! Hivini kweli JK kaongeza Mke kutoka Kilimanjaro. Uvumi huu umeenea katika baadhi ya maeneo hapa nchini na unakwenda mbali hata kueleza kuwa aliyeolewa ni...
0 Reactions
22 Replies
6K Views
Hii inaweza kuwa ya mwaka. Mteja mmoja wa benji ya azania bancorp amejikuta akiibiwa sh milioni 10 katika mazingira ya kitapeli akiwa ndani ya benki; bwana huyo anasema kuwa aliingia ndani akiwa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Anybody with a clue of what happened with Jump TV and Tz TV Stations?
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Linapokuwa suala la dawa za ARV ambazo hutolewa bila malipo kwa walengwa, kinakuja kichekesho. Kwanza wafamasia wanasema kuna uwezekano mkubwa watumiaji wanatumia dawa hizi chini ya dozi...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Dar es Salaam, Tanzania is No 12 on The World's 25 Dirtiest Cities Mercer Health and Sanitation Index Score: 40.4 The capital of this east African country continues to grow populationwise...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakati JK alipounda timu chini ya AG Mwanyika kuwachunguza waliochota mabilioni ya EPA, moja ya adidu za rejea za kamati hiyo ilikuwa ni kutoa taarifa mara kwa mara kupitia vyombo vya habari. Ni...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
2008-03-04 09:59:30 By Lydia Shekighenda and Correspondent Felister Peter Chama Cha Mapinduzi Secretary General Yusuf Makamba has said the ongoing peace talks between his ruling party and...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
'Unrest' as Hanang Residents Rush for Abandoned Wheat Farms. Arusha Times (Arusha) 1 March 2008 Posted to the web 2 March 2008 At least three houses have been burnt down and others...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nimepokea taarifa kuwa Ofisi za Brela zilizopo Dar zimeungua moto. Wenye taarifa zaidi kuhusiana na suala hili tunaomba watujulishe pamoja na extent of damage.
0 Reactions
39 Replies
8K Views
Kwa utajiri huu wa vyanzo vya nishati ni kwa nini Tanesco bado wanatupatia shida??? Ni nini kifanyike ili tuzitumia vizuri hizi nishati kwa manufaa ya nchi??? Ukiisoma hii publication unaweza...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Tanzania imengia mkataba na Barrick ili kuiruhusu kampuni hiyo kuchimba dhahabu. Barrick imeingia mkataba huo kwa niaba ya shareholders wake wakiwemo watu binafsi na makampuni mbali mbali...
0 Reactions
14 Replies
4K Views
  • Closed
On friday, there will be a new CD released with several tracks for our members to enjoy for the weekend. If you are a journalist or somebody interested just to satisfy your curiosity, don't...
0 Reactions
85 Replies
12K Views
Baada ya ndugu Pinda kuingia madarakani ameamua kuwa na timu ya watu wake .Pinda na watu wake sasa yuko bize kupata majina ya wakuu wapya wa Mikoa na baadaye nadhani Wilaya. Habari ambazo...
0 Reactions
49 Replies
7K Views
Lazima tulifuatilie swala hili hadi tujue ukweli umelalia wapi. Kama Muhimbili ndio wanasema ukweli kwamba hakuna vichanga vilivyopoteza uhai kwa kukosekana umeme, basi gazeti lililoandika habari...
0 Reactions
21 Replies
4K Views
ZIMBABWE STYLE LAND INVASIONS FORCE BRITISH INVESTORS FROM THIER HOME On the eve of President Bush’s visit to Tanzania, Zimbabwe style land invasions have begun in a country stated by President...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Wamchongea RC kwa JK na Edward Ibabila, Mwanza Tanzania Daima~Sauti ya Watu WAKAZI kadhaa wa mkoani hapa, wamemchongea Mkuu wa Mkoa (RC) wao , Dk. James Msekela, kwa Rais Jakaya Kikwete...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Tunakuomba wewe mtanzania, Kiongozi mwanasiasa, Tajiri na mwenye uwezo wa aina yoyote ile, utuwezeshe kwa namna yoyote ile tuweze kuponya maisha ya huyu ndugu yetu, Pia tunakuomba raisi hawa ndo...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Moja ya sifa iliyoingia nayo serikali ya awamu ya nne ni kuupunguza ujambazi ambao ulikithiri na kuhatarisha amani katika baadhi ya miji kama vile Dar es salaam, Arusha na Kilimanjaro. Katika...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Back
Top Bottom