Pilato2006
Senior Member
- Aug 25, 2008
- 124
- 35
nina 100,000/= kwa ajili ya kampeni nataka kumpa Rais wetu mtarajiwa, dr. W. Slaa kwa ajili ya kampeni. Nilijaribu ku PM kwake lakini hadi sasa hakuna jibu huenda yupo busy na mambo ya kampeni , naomba mwenye Ac yake au wapi michango inapokelewa anifahamishe