Kwamba ufisadi na ubadhirifu katika serikali ya Kikwete unagharimu asilimia 25 ya pato la taifa.
Na kwamba Kikwete anahusika moja kwa moja na:
1. IPTL
2. Bulyanhulu
3. Kagoda
4. EPA
5. Deep Green
6. Buzwagi
7. Richmond
8. Ufujaji wa kutisha wa mapesa ya nchi kupitia bajeti ya ikulu
9. Wizi wa pesa tasilimu unaofanyika kila mara Kikwete akienda safari na nje.
nk nk nk
Hizi pesa zote zingeweza kusaidia mambo mengi sana Tanzania. Hata Kikwete akijisifia kuendeleza mipango ya maendeleo iliyoanzishwa (na kutengewa bajeti) na serikali ya Mkapa, bado madai yake ya kufanya vitu hayafikii ubadhirifu mkubwa kabisa uliofanyika katika (na kwa niaba ya) serikali yake.
Na kwamba Kikwete anahusika moja kwa moja na:
1. IPTL
2. Bulyanhulu
3. Kagoda
4. EPA
5. Deep Green
6. Buzwagi
7. Richmond
8. Ufujaji wa kutisha wa mapesa ya nchi kupitia bajeti ya ikulu
9. Wizi wa pesa tasilimu unaofanyika kila mara Kikwete akienda safari na nje.
nk nk nk
Hizi pesa zote zingeweza kusaidia mambo mengi sana Tanzania. Hata Kikwete akijisifia kuendeleza mipango ya maendeleo iliyoanzishwa (na kutengewa bajeti) na serikali ya Mkapa, bado madai yake ya kufanya vitu hayafikii ubadhirifu mkubwa kabisa uliofanyika katika (na kwa niaba ya) serikali yake.