Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Nimejaribu kutafakari kwa kina mapinduzi ya vyama bila kuihusisha na mabadiliko ya katiba ni sawa na kucheza na majitaka,kila ukinawa bado ni mchafu.Sasa nauliza kuna ulazima wa kutetea...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Mtanzania yeyote Mzalendo wa kweli, mwenye akili timamu, asiye na mtindio wa ubongo, wala mtumwa wa hila chafu, wala udumavu wa kiakili, tena asiye na utando wa buibui wala tongotongo za ufisadi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kufuatia kauli yake kuwa Marehemu Idris Abdul wakil alikuwa darasa la saba.. Zanzibar yambana Mbowe awaombe radhi Mwinyi Sadallah Ni kwa kauli Rais mstaafu darasa la saba Mwenyekiti...
0 Reactions
37 Replies
4K Views
Watawala wetu walioshindwa wamejaribu kutengeneza siasa ambayo si siasa tena; wanajaribu kuichakachua na kufanya siasa isiwe vile ilivyo. Siasa ni pamoja na kejeli, utani, kebehi, uchokozi na hata...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Nimrod Mkono kupoteza ubunge Na Mwandishi wetu - Imechapwa 25 August 2010 MBUNGE mteule wa Musoma Vijijini (CCM), Nimrod Mkono ameingia katika kashfa ya rushwa ya uchaguzi na huenda...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Joel Kimbisa 2010-09-01 Mtanzania yeyote Mzalendo wa kweli, mwenye akili timamu, asiye na mtindio wa ubongo, wala mtumwa wa hila chafu, wala udumavu wa kiakili, tena asiye na utando wa...
0 Reactions
32 Replies
3K Views
Tangu kuanza kwa mchakato wa uchaguzi 2010 nimekuwa nikifuatilia kwa makini sana uandishi wa habari kwenye magazeti yanayochapishwa hapa nchini ili kuona ni kiasi gani yamejikita katika kuandika...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Katika kipindi hiki cha kampeni ambapo vyombo vyingi vya habari vikiwemo vya umma vimeamua kuegemea upande wa CCM, na vikipotosha habari dhidi ya upinzani, CHADEMA wanapaswa sasa kutafuta njia...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Nguvu au Udhaifu wa vyama viwili,CCM na CHADEMA vinavyochuana kuingia ikulu iko kwenye kashfa nzima ya EPA na yote yaliyojiri kwa CCM kuingia madarakani kwa kipindi kilichopita. Ni jinsi kila...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Kuna habari kuwa wakati mgombea urais kwa tiketi ya CCM Jakaya Kikwete akiwa Mbalizi mkoani Mbeya alivuna wanachama wapya wapatao 400 wengi wao wakiwa wanachama wa Chadema akiwemo aliyekuwa Katibu...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Mimi sikifagirii chama hiki cha CCM... lakini situation inaonesha kimeshashinda, kwasababu Zenj wamesha vunjwa mbavu kwa kumsimamisha Dr. Shein, na kumleta huku bilali ni saikolojia kubwa sana...
0 Reactions
73 Replies
7K Views
Nimeona watu bado hawajaweka ilani ya Chadema, hasa baada ya MWJJ kuipigia debe kabla ya kutoka! Sijui topic iliishia wapi! But anyway...hii hapa!feel free kuipitia!
0 Reactions
0 Replies
6K Views
Mgombea kiti ca uris kwa ticketi ya CCM JK siku ya ufunguzi wa kampeni pale jangwani baada ya kupata nafuu kwa kile kilichomtokea alirudi jukwaani alizungumza haya tena kwa kujiamini. Nanukulu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Shirikisho la michezo ya Idara za serikali, wizara na ofisi za wakuu wa mikoa(SHIMIWI) limetangaza kusitishwa kwa michezo hiyo iliyokuwa ifanyike Tanga 17th September -2nd October. Wadadisi wa...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Leo katika kipindi chake cha mapitio ya magazeti cha 06.50am asubuhi, kituo cha television cha ITV kinachomilikiwa na IPP Media kilifanya tukio ambalo sikulitegemea kwa kwa kituo hicho...
0 Reactions
150 Replies
13K Views
Wakubwa, Hi ni kauli inazungumzwa sana hasa na MAKADA WA CHAMA CHA MAPINDUZI mitaani na kauli hii hii hii ilizungumzwa pia na mtoto wa hayati baba wa taifa kwamba ni kweli ukiweka pembeni...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
KATIBA mpya Tume huru ya UCHAGUZI Ofisi huru ya MSAJILI wa vyama TAKUKURU huru Kuiondoa MAHAKAMA kutoka c idara ya mahakama na kuwa mhimili kamili ambapo CJ anakuwa na status sawa na speaker wa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hapa kuna mambo jamani hivi mtu kweli,tangu aingie madarakani hajawahi hata mara moja kutembelea baadhi ya sekta muhimu zilizopo ndani ya kata yake mpaka anaondoka madarakani halafu leo anagombea...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Helikopta ya Slaa yapata tabu kutua Mpwapwa Thursday, 02 September 2010 Salim Said, Mpwapwa HELIKOPTA ya mgombea urais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya Chadema, Dk...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari za TBC zafanyiwa mageuzi makubwa baada ya malalamiko makubwa toka kwa wadau mbalimbali kama vyama vya siasa, jukwaa la wanahabari, wananchi na mitandao kama JF. Ni matumaini hali hii ya...
0 Reactions
27 Replies
4K Views
Back
Top Bottom