Nicky82
JF-Expert Member
- Mar 14, 2009
- 941
- 64
Katika kipindi hiki cha kampeni ambapo vyombo vyingi vya habari vikiwemo vya umma vimeamua kuegemea upande wa CCM, na vikipotosha habari dhidi ya upinzani, CHADEMA wanapaswa sasa kutafuta njia mbadala ya kufikisha ujumbe kwa wananchi badala ya kutegemea vyombo vya habari vilivyopo kwani ni wazi kuwa nyingi ya media zmeegemea upande wa CCM na pale inapotangaza habari za upinzani basi ni zile zenye negative impact kwa wananchi.
Hapa ndipo umuhimu wa CHADEMA kutumia website yao, pamoja na blogs kama njia mbadala unapoonekana. Kama nilivyowahi kusema kwenye post moja juu ya swala hili, CHADEMA waweke picha za mikutano,Audio na Video za hotuba za mikutano ya kampeni ya Dk. Slaa.
Sisi wachace tulio na access ya internet na wenye nia ya kuisuport CHADEMA, tutadownload baadhi ya hizi audio hizi na kuzisambaza kwa watanzania wenzetu kama vile nyimbo za bongo fleva zisaambavyo kwenye viselula vyetu. Na kwa vile simu za kichina zipo hadi vijijini, maneno hayo ya hotuba hata kama ni ya dakika moja yatasambaa kwenye simu za watz nchi nzima kwa muda mfupi sana.
Wengine tutadown hizo video na kuziburn na kuwapa wamachinga wazigawe cd bure mitaani. Kampeni hii itakuwa na nguvu kuliko kutegemea airtime kiduchu ya vyombo vyetu vya habari. Natamani kuona CHADEMA wakitumia mbinu hii kama njia mbadala ya kusambaza habari, lakini speed yao katika hili bado ni ya polepole.
Hapa ndipo umuhimu wa CHADEMA kutumia website yao, pamoja na blogs kama njia mbadala unapoonekana. Kama nilivyowahi kusema kwenye post moja juu ya swala hili, CHADEMA waweke picha za mikutano,Audio na Video za hotuba za mikutano ya kampeni ya Dk. Slaa.
Sisi wachace tulio na access ya internet na wenye nia ya kuisuport CHADEMA, tutadownload baadhi ya hizi audio hizi na kuzisambaza kwa watanzania wenzetu kama vile nyimbo za bongo fleva zisaambavyo kwenye viselula vyetu. Na kwa vile simu za kichina zipo hadi vijijini, maneno hayo ya hotuba hata kama ni ya dakika moja yatasambaa kwenye simu za watz nchi nzima kwa muda mfupi sana.
Wengine tutadown hizo video na kuziburn na kuwapa wamachinga wazigawe cd bure mitaani. Kampeni hii itakuwa na nguvu kuliko kutegemea airtime kiduchu ya vyombo vyetu vya habari. Natamani kuona CHADEMA wakitumia mbinu hii kama njia mbadala ya kusambaza habari, lakini speed yao katika hili bado ni ya polepole.