nimekuwa nikifuatilia mara kwa mara kauli zinazotolewa na mnajimu Sheikh yahaya kuhusu Rais wetu na kudhihirisha wazi kuwa JK ni mshrikina wa kutupwa na hata siku moja serikali wala ikulu...
Wana-JF:
Gazeti moja liitwalo Tahmini leo lina stori kuu ukurasa wa mbele kwamba marais wastahafu -- Ali Hassan Mwinyi na Benjamin Mkapa wamekacha kumkampenia JK, kwa sababu wanaogopa kuumbuliwa...
WanaJF nimeona niwaletee makala haya kutoka Tanzania Daima.
HAYATI Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, alisema kwamba hatuwezi kumpata rais malaika, maana sote ni binadamu. Anayechaguliwa...
Wakuu nimesikia habari kwamba jana kulikuwa na vurugu mwz, eti kidogo mabomu yapigwe na dr.slaa ndiye ameepusha ghasia.magazeti hayafunguki humu na jf sioni chochote.nijuzeni tafadhali wenye hizo...
Wajumbe je tayari hoja zimekosa kwa mkuu wetu maana ameahidi yote sasa yameisha na hana jipya tena? Je tayari ganzi inaanza kuingia taratibu na kila kisemwacho ni ahadi za miaka iliyoopita au...
MGOMBEA ubunge wa jimbo la Njombe Magharibi kupitia chama cha Demokrasia na maendeleo (chadema) Thomas Nyimbo ameuonya uongozi wa serikali ya wilaya ya Njombe mkoani Iringa pamoja na aliyekuwa...
MWENYEKITI wa Kampeni wa mgombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana, amesema chama hicho na mgombea wake havihusiki na taarifa za kuongezewa nguvu za ulinzi usioonekana...
Tuesday, 31 August 2010 15:56
BY BERNARD JAMES AND BERNARD LUGONGO (The Citizen)
There is a growing concern that the inability by opposition parties to field candidates for parliamentary and...
Dr. Slaa 23:
1 Kisha Dr. Slaa akauambia umati wa Watanzania pamoja na wafuasi wake wa CHADEMA pale Jangwani,
2 "CCM na Mafisadi wana mamlaka ya kufafanua Sheria za Watawala na Ilani zao...
Hivi majuzi nilikuwa katika safari ya kuelekea katika vijjiji fulani, kukatokea malumbano ambayo yalinisisimua sana. Basi lilikuwa limejaa sana, konda 'anapanga' abiria. Abiria hawakufurahi lakini...
Waungwana wa JF mbona tangu Dr. Slaa atangazwe kugombea Urais kupitia Chadema, Tafiti zote zilizokuwa zinafaunywa na wataalam wa REDET hazipo tena?. Ni Matokeo hayapikiki tena, wameona Ngoma Nzito?
Wana-JF:
Gazeti moja liitwalo Tahmini leo lina stori kuu ukurasa wa mbele kwamba marais wastahafu -- Ali Hassan Mwinyi na Benjamin Mkapa wamekacha kumkampenia JK, kwa sababu wanaogopa kuumbuliwa...
First Lady Thandiwe Banda
Two women from Chinsali and Isoka have sued First Lady Thandiwe Banda over her money-dishing trips to various districts in the country without any Parliamentary...
Nikiwa mtanzania mwenye haki yakikatiba napinga kwa nguvu zote uteuzi wa Kikwete kuliongoza taifa hili kwa miaka mitano tena. Najuwa wengi mtasema sijielewi ila hata katiba haimkubali tena...
Jana nilikuwa napata kilaji mahala fulani, akapita omba omba fulani. Alivyokuja kwangu nikamwambia mimi hela hata nikikupa haitasaidia, cha maana October 31 usiipigie kura CCM. Nikamwambia...
From CCM yazuia JK kushiriki mdahalo
Comments
#46 CAROLINE 2010-09-12 19:57
Doctor wa miujiza amekataa kuingia kwenye mdahalo kwani majini ya Muuguzi wake Shehe Yahya Hussein hayajakamilisha...
Leonard Mubale na Richard Katunka, Kigoma
MGOMBEA ubunge wa Jimbo la Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe amemtaka Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Joseph Simbakalia na Mkuu wa Wilaya ya Kigoma, John Mongela...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.