Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Dr. Slaa 23: 1 Kisha Dr. Slaa akauambia umati wa Watanzania pamoja na wafuasi wake wa CHADEMA pale Jangwani, 2 "CCM na Mafisadi wana mamlaka ya kufafanua Sheria za Watawala na Ilani zao...
0 Reactions
17 Replies
4K Views
Hivi majuzi nilikuwa katika safari ya kuelekea katika vijjiji fulani, kukatokea malumbano ambayo yalinisisimua sana. Basi lilikuwa limejaa sana, konda 'anapanga' abiria. Abiria hawakufurahi lakini...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Waungwana wa JF mbona tangu Dr. Slaa atangazwe kugombea Urais kupitia Chadema, Tafiti zote zilizokuwa zinafaunywa na wataalam wa REDET hazipo tena?. Ni Matokeo hayapikiki tena, wameona Ngoma Nzito?
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wana-JF: Gazeti moja liitwalo Tahmini leo lina stori kuu ukurasa wa mbele kwamba marais wastahafu -- Ali Hassan Mwinyi na Benjamin Mkapa wamekacha kumkampenia JK, kwa sababu wanaogopa kuumbuliwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
First Lady Thandiwe Banda Two women from Chinsali and Isoka have sued First Lady Thandiwe Banda over her money-dishing trips to various districts in the country without any Parliamentary...
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Nikiwa mtanzania mwenye haki yakikatiba napinga kwa nguvu zote uteuzi wa Kikwete kuliongoza taifa hili kwa miaka mitano tena. Najuwa wengi mtasema sijielewi ila hata katiba haimkubali tena...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Jana nilikuwa napata kilaji mahala fulani, akapita omba omba fulani. Alivyokuja kwangu nikamwambia mimi hela hata nikikupa haitasaidia, cha maana October 31 usiipigie kura CCM. Nikamwambia...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nimeipata kama ilivyo.... Kwa wale wenye kuweza kuangalia video: Kwa wale wenye kusikia kwa sauti tu: Sikiliza Hapa
0 Reactions
46 Replies
6K Views
From CCM yazuia JK kushiriki mdahalo Comments #46 CAROLINE 2010-09-12 19:57 Doctor wa miujiza amekataa kuingia kwenye mdahalo kwani majini ya Muuguzi wake Shehe Yahya Hussein hayajakamilisha...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kutoka Mama Maria hadi Mama Salma
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Leonard Mubale na Richard Katunka, Kigoma MGOMBEA ubunge wa Jimbo la Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe amemtaka Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Joseph Simbakalia na Mkuu wa Wilaya ya Kigoma, John Mongela...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Atishiwa kuuawa kwa kutoinadi CCM Moshi Mjini Mgombea aliyeshinda kura za maoni katika jimbo la Moshi Mjini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), kisha kuenguliwa na Halmashauri Kuu ya Taifa (Nec)...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kivuko cha MV Pangani kikivusha wananchi wa Pangani leo. Kivuko hiki ni mojawapo ya ahadi zilizowekwa na Chama cha Mapinduzi 2005, ya kuwaletea wananchi wa Pangani kivuko cha uhakika:
0 Reactions
53 Replies
6K Views
Wadau, najaribu kufuatilia coverage ya mgombea urais wa CUF, Prof Lipumba...swali ni kwamba, je, hastahili kuonyeshwa au kundikwa kweye magazeti kama wenzake?? Haki sawa kwenye vyombo vya habari...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Katika kipindi cha miaka miwili: 2005 na 2006; JK aliahidi (mengine zaidi ya mara moja) kama ifuatavyo:Good governance (accountability, corruption); electricity, education, water, infrastructure...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kuna usemi wa wahenga usemao, dalili za Mvua ni mawingu, namwingine husema, sikio lakufa halisikii dawa. Nisingependa kuandika . Maisha ni zawadi toka kwa Mungu. Ujana ulitesa maana kipindi kile...
0 Reactions
37 Replies
4K Views
Kutokana na uzoefu tulioona katika uchaguzi wa 2005 na chaguzi ndogo zilizopita ni wazi kuwa CCM hushinda kwa uwizi, ujanjajanja wa mabox ya kura au kula njama na mawakala uchwala wenye njaa kali...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Source: https://www.jamiiforums.com/uchaguzi-tanzania-2010/71623-slaa-akata-anga-morogoro.html Slaa akata anga Morogoro Akiwa Mikumi, alimlipua mwenyekiti wa kamati ya kampeni za CCM...
0 Reactions
138 Replies
14K Views
Is TBC campaign debates a sheer waste of time? By Polycarp Machira 12th September 2010 CCM campaign manager Abulrahman Kinana...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Na Mussa Juma GAVANA wa kwanza wa Benki Kuu Tanzania(BoT) na aliyewahi kuwa Waziri wa Fedha katika utawala wa Baba wa taifa, Mwalimu Julius Nyerere, Edwin Mtei amemtahadharisha Rais Jakaya...
0 Reactions
93 Replies
11K Views
Back
Top Bottom