Magulumangu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 3,047
- 452
wakuu habari za Sikukuu?jamani nimekaa nikafikiria kuna sababu kubwa sana ndani ya SiSi Njemu kukataa Debate kwa Mkulu wao na hii ni shinikizo la makamba(The Fataki),Kikwete alianguka Jangwani baada ya kusutwa na uongo alodanganya Wananchi na ahadi lukuki za Kifisadi,Swali langu,Je,kama face to face na the UFICHUA UFISADI Dakta Slaa ndani ya Debate Mkulu si ATAPOTEZA kabisa network?hamuoni kuwa makamba yu halali kuepusha balaa ndani LIVE bin LUNINGA mkulu akibanwa na PRESHA kushuka na kunyanyuka?
Yangu maoni tu
Lekagi Gete Mwanawane Agucha..
Yangu maoni tu
Lekagi Gete Mwanawane Agucha..