Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,883
- 2,763
Ningependa kufahamu kipindi kama hiki cha uchaguzi mkuu serikali inakuwa wapi na majukumu ya rais ni yapi na mipaka yake ni ipi. Nadhani wengi tungependa kufahamu hili. Nimeuliza hivi maana leo nimeona msafara barabara ya nyerere ila sikujua ni wa nani. Wakati rais anagombea mhula mwingine huwa bado anauwa na madaraka kamili kama rais?