Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Luke 16: 3-4 "The manager said to himself, 'What shall I do now? My master is taking away my job. I'm not strong enough to dig, and I'm ashamed to beg— I know what I'll do so that, when I lose my...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Serikali yaagiza matokeo ya tafiti yadhibitiwe Thursday, 30 September 2010 19:26 James Magai Source: Mwananchi KUKIWA na tuhuma za kuzuiwa kutangaza matokeo ya tafiti za kisiasa, serikali...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Wote tumesikia au kusoma kuhusu tamko la Jeshi kuhusu Uchaguzi Mkuu wa 31 October, 2010. JWTZ kutoa angalizo hili ni kujidhalilisha ingawa ninaamini kabisa kuwa amri hii imetoka kwa KIKWETE...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Hiki ni kituko jamani,chama cha mapinduzi(ccm) wametoa mpya kwa wananchi baada ya kupita na gari lao la watangazo wakiwatangazia wananchi ya kwamba wajitokeze katika eneo la shule ya msingi...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Mawaziri wakiuka sheria ya maadili ya uchaguzi Saturday, 02 October 2010 07:34 Salim Said MAWAZIRI na watendaji wakuu wa serikali wanaongoza kwa kukiuka Sheria ya Gharama za Uchaguzi na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu mie ni mdau wa nchi yangu na ni mpenzi sana wa bongo For the last 4 weeks nimekua naangalia sana habari za mikutano ya kampeni na nimepata wazo mbadala kidogo kuhusu impact ya mikutano ya...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
I came across this interesting article posted somewhere by a blogger. You be the judge!! Mkuu wa kaya pole na mihangaiko ya kampeni naona imepamba moto kweli kweli ! Uzuri ni kwamba libeneke...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Agenda Participation 2000 ni shirika lisilo la Kiserikali ambalo linajihusisha na masuala ya uchaguzi na elimu kwa umma juu ya uchaguzi na uraia. Juzi (Ijumaa) jeshi lilijiingiza katika siasa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
CLICK THE LINK, Documentary
0 Reactions
32 Replies
4K Views
People who keep on doing things the same way, they will always get the same results they have always Got. Kama tunaridhika na hali iliyoko, basi ukweli hatuhitaji mabadiliko mengine mazuri...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Thursday, 30 September 2010 20:09 0diggsdigg Exuper Kachenje KATIKA kusaidia sekta ya elimu nchini, kampuni ya vifaa vya elektroniki ya Dell ipo mbioni kusambaza kompyuta milioni moja kwa...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Harakati za kujipatia ushindi wa kishindo zimeendelea leo baada ya mgombea urais kwa tiketi ya chama cha mapinduzi kumnadi mgombea ubunge huko igunga kwa tiketi ya ccm mh. Rostam Aziz, asema ni...
0 Reactions
67 Replies
13K Views
Hope hawatatuwekea tena zile picha za vita ya rwanda kwenye public tv stations kama kipindi kile ilikututishia kuwa tusipo wachagua yatatokea kwetu... WATANZANIA 2010 HATUDANGANYIKI!
0 Reactions
0 Replies
6K Views
gharama ya kuikomboa nchi ni kubwa na inahitaji watu wenye mioyo migumu watakaojitoa kwa hali na mali tumekuwa tukilalamika kuwa kwenye baadhi ya majimbo kuna wagombea ni mafisadi PAPA na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
FACTBOX-Key political risks to watch in Tanzania Thu Sep 30, 2010 3:24pm GMT By Fumbuka Ng'wanakilala DAR ES SALAAM, Sept 30 (Reuters) - Tanzania, east Africa's second largest economy...
0 Reactions
58 Replies
4K Views
Kuna mchangiaji katoa haya maoni kwa kweli nimeyapenda anasema:-Kwa kweli nimeyakubali yale maandiko yanayosema YAACHENI MAGUGU NA NGANO VIOTE PAMAJA . Na itakapo fika wakati wa kuvuna sisi...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wana jukwaa kuna kura ya maoni kwenye tovuti ya Radio Free Africa (Radio Free Africa | The Sound Of Africa) inayohusu nani wadau watamchagua kuwa rais. Matokeo mpaka sasa ni Dr. Slaa (80%), JK...
0 Reactions
38 Replies
4K Views
Mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu amesema kuwa endapo atachaguliwa tena ataanzisha mpango maalum wa kuwakopesha zana wavuvi katika...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Jumapili, Septemba 12, 2010. Na Maggid Mjengwa, HUU ni mjadala niliouanzisha kule kwenye jukwaa la Jamii (www.jamiiforums.com). Nauendeleza hapa ili uwafikie wengi zaidi. Ni tathimini...
0 Reactions
71 Replies
7K Views
Kuna habari Zimenifikia hivi punde kutoka urambo tabora kuwa jeshi la wanyama pori Urambo, Tabora limechoma nyumba za kijiji kimoja na kuua watu 25 kwa kuwasingizia kua ni Majambazi. Watu hao...
0 Reactions
29 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…