Emma Lukosi
JF-Expert Member
- Jul 22, 2009
- 929
- 147
Kuna habari Zimenifikia hivi punde kutoka urambo tabora kuwa jeshi la wanyama pori
Urambo, Tabora limechoma nyumba za kijiji kimoja na kuua watu 25 kwa kuwasingizia
kua ni Majambazi.
Watu hao ambao inasemekana ni wafuasi wa CUF na wapinzani wakubwa wa CCM
Walizushiwa kuwa wamevamia Eneo la wanyama pori na baadae nyumba zao kuchomwa
moto. Baada ya watu kuhoji kuwa watu wale walikuwapo hapo kwa mda mrefu na si wavamizi, Askari wale waliamua kuwaua.
Mwenye kina tunaomba atujuze zaidi.
Urambo, Tabora limechoma nyumba za kijiji kimoja na kuua watu 25 kwa kuwasingizia
kua ni Majambazi.
Watu hao ambao inasemekana ni wafuasi wa CUF na wapinzani wakubwa wa CCM
Walizushiwa kuwa wamevamia Eneo la wanyama pori na baadae nyumba zao kuchomwa
moto. Baada ya watu kuhoji kuwa watu wale walikuwapo hapo kwa mda mrefu na si wavamizi, Askari wale waliamua kuwaua.
Mwenye kina tunaomba atujuze zaidi.