Freetown
JF-Expert Member
- Apr 6, 2008
- 883
- 73
Kuna mchangiaji katoa haya maoni kwa kweli nimeyapenda
anasema:-Kwa kweli nimeyakubali yale maandiko yanayosema YAACHENI MAGUGU NA NGANO VIOTE PAMAJA . Na itakapo fika wakati wa kuvuna sisi wavunaji tutajua ni nini cha kufanya hapo tarehe 31st October.
Kwa hakika kila mtu anapokwenda kuvuna ataruka magugu na kuvuna ngano
Mwenyezi Mungu ibariki tarehe 31st October, na uwape ufahamu Watanzania wanaoteseka kutokana na uongozi unaokumbatia mafisadi, kutoichagua ccm
anasema:-Kwa kweli nimeyakubali yale maandiko yanayosema YAACHENI MAGUGU NA NGANO VIOTE PAMAJA . Na itakapo fika wakati wa kuvuna sisi wavunaji tutajua ni nini cha kufanya hapo tarehe 31st October.
Kwa hakika kila mtu anapokwenda kuvuna ataruka magugu na kuvuna ngano
Mwenyezi Mungu ibariki tarehe 31st October, na uwape ufahamu Watanzania wanaoteseka kutokana na uongozi unaokumbatia mafisadi, kutoichagua ccm