Harakati za kujipatia ushindi wa kishindo zimeendelea leo baada ya mgombea urais kwa tiketi ya chama cha mapinduzi kumnadi mgombea ubunge huko igunga kwa tiketi ya ccm mh. Rostam Aziz, asema ni mtu safi anasingiziwa!
Dawa ya hawa ni kuwamwaga afu kuwaburuza mahakamani...
Mkwapuaji wa mali ya umma anasema kasingiziwa...
Mbona hakwenda mahakani ili asafishwe..
Mshaurini hata kama anawadharau wa-TZ atumie maneno yenye staha...
Inatia kinyaa,,, mi naona tumvamie tu hukohuko majukwaani anakotoa pumba... Hawezi kutufanya wakuja kiasi hiki... Yaani mtu ana shutuma za wizi yeye anamtangasia usafi!!!!
kabla aujaanza wanakuburuza wewe na familia yako kupitia bot...waachen jamani hata neno linasema usipofanya kazi na usile kama wanaweza kuingia bot na kumaliza kazi ndugu wanafanya kazi we acha tu..anyway nisiseme sana goodfriday
Kisha Dr. Slaa akashinda urais sijui atakuwepo wakati wa rais kuhutubia bunge!!!!!!!? Nadhani atakimbi nchi huyu itabidi jimbo la igunga uchguzi urudiwe!!
They have been taking us for granted for soo long, they made a fool of us, they get filthy rich at our expense lakini sasa kwa kauli moja tunasema..........HATUDANGANYIKI.
Sijapenda kauli ya ANASINGIZIWA,hata kama anashutuma za kifisadi haikuwa na haja kwa Kikwete kuanza kumsemea kuwa anasingiziwa bali angemuacha mwenyewe ajisemee,tunachotaka watanzania kwa sasa ni kusikia mgombea anasema nini juu ya kuwaletea maendeleo watanzania na si kuanza kujibu mambo ya watu wengine.
Nasema tena kwasauti ya juu, JK kumtenganisha na mafisadi, ni sawa na kumziba PUa na Mdomo asiheme. ccm na mafisadi ni mapacha. sioni mwadilifu ambae anatamani kubaki ccm.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.