Elections 2010 Ccm watumia jina la dr slaa kuwadanganya watu waje kwenye mkutano wao.

TUNTEMEKE

JF-Expert Member
Jun 15, 2009
4,587
579
Hiki ni kituko jamani,chama cha mapinduzi(ccm) wametoa mpya kwa wananchi baada ya kupita na gari lao la watangazo wakiwatangazia wananchi ya kwamba wajitokeze katika eneo la shule ya msingi majengo kumsikiliza dr slaa ambaye atahutubia tena katika eneo hilo,ikumbukwe eneo hilo ndio ambalo dr slaa alihutubia juz maelfu ya wanasongea,lakin ukwel dr slaa alikuwa hautubii teno ktk eneo hilo bali mgombea ubunge wa ccm Emmanuel Nchimbi ndiye aliyekuwa anamkutano ktk eneo hilo.watu walioamin ya kwamba dr atakuwa hapo walienda na walipofika ktk eneo la tukio walikuta ngoma zikipigwa huku kukiwa na bendera nyingi za ccm basi walitukana na kuondoka kwa hasira.Baadhi ya akina mama na akinabibi ambao ndio walikuwa wahudhuliaji wakuu wa mkutano huo ulioanza majira ya saa 6 za mchana had saa 12 jioni walikutwa wakilalamika ktk maeneo ya mkutano baada ya maroli ambayo yaliwatoa kutoka maeneo ya pembeni ya mji na kuwaleta kwenye mkutano huu,kutoonekana baada yamkutano kuisha ili ya warudishe ktk maeneo yao hali iliyosababisha watembee kwa miguu kutoka katikati ya mji had maeneo yao waliyotoka ambayo mengine ni zaid ya kilometa 20 had 25..huku wakizomewa njia mzima na wananchi wakaz wasongea mjin ambao walikuwa wanawaona walivyokuwa wanalalamika tena wengine wakisema ya kuwa wamekalishwa na njaa siku mzima na wanarud kwa miguu baada ya marol kuwarudisha watu kwa upendeleo..
 
Hahahahhah! haya mambo mengine hayo sasa! watawadanganya watu kuwa Dr Slaa yuko CCM, so Chadema wawe makini zaidi.
 
Hiki ni kituko jamani,chama cha mapinduzi(ccm) wametoa mpya kwa wananchi baada ya kupita na gari lao la watangazo wakiwatangazia wananchi ya kwamba wajitokeze katika eneo la shule ya msingi majengo kumsikiliza dr slaa ambaye atahutubia tena katika eneo hilo,ikumbukwe eneo hilo ndio ambalo dr slaa alihutubia juz maelfu ya wanasongea,lakin ukwel dr slaa alikuwa hautubii teno ktk eneo hilo bali mgombea ubunge wa ccm Emmanuel Nchimbi ndiye aliyekuwa anamkutano ktk eneo hilo.watu walioamin ya kwamba dr atakuwa hapo walienda na walipofika ktk eneo la tukio walikuta ngoma zikipigwa huku kukiwa na bendera nyingi za ccm basi walitukana na kuondoka kwa hasira.Baadhi ya akina mama na akinabibi ambao ndio walikuwa wahudhuliaji wakuu wa mkutano huo ulioanza majira ya saa 6 za mchana had saa 12 jioni walikutwa wakilalamika ktk maeneo ya mkutano baada ya maroli ambayo yaliwatoa kutoka maeneo ya pembeni ya mji na kuwaleta kwenye mkutano huu,kutoonekana baada yamkutano kuisha ili ya warudishe ktk maeneo yao hali iliyosababisha watembee kwa miguu kutoka katikati ya mji had maeneo yao waliyotoka ambayo mengine ni zaid ya kilometa 20 had 25..huku wakizomewa njia mzima na wananchi wakaz wasongea mjin ambao walikuwa wanawaona walivyokuwa wanalalamika tena wengine wakisema ya kuwa wamekalishwa na njaa siku mzima na wanarud kwa miguu baada ya marol kuwarudisha watu kwa upendeleo..

Interesting huh! Huko Songea sisiem ndio imekusahau kabisa kimaendeleo.
 
Kweli maji yamefika shingoni, naona naona na JK nae punde ataanza kutumia hiyo strategy!
 
Hiki ni kituko jamani,chama cha mapinduzi(ccm) wametoa mpya kwa wananchi baada ya kupita na gari lao la watangazo wakiwatangazia wananchi ya kwamba wajitokeze katika eneo la shule ya msingi majengo kumsikiliza dr slaa ambaye atahutubia tena katika eneo hilo,ikumbukwe eneo hilo ndio ambalo dr slaa alihutubia juz maelfu ya wanasongea,lakin ukwel dr slaa alikuwa hautubii teno ktk eneo hilo bali mgombea ubunge wa ccm Emmanuel Nchimbi ndiye aliyekuwa anamkutano ktk eneo hilo.watu walioamin ya kwamba dr atakuwa hapo walienda na walipofika ktk eneo la tukio walikuta ngoma zikipigwa huku kukiwa na bendera nyingi za ccm basi walitukana na kuondoka kwa hasira.Baadhi ya akina mama na akinabibi ambao ndio walikuwa wahudhuliaji wakuu wa mkutano huo ulioanza majira ya saa 6 za mchana had saa 12 jioni walikutwa wakilalamika ktk maeneo ya mkutano baada ya maroli ambayo yaliwatoa kutoka maeneo ya pembeni ya mji na kuwaleta kwenye mkutano huu,kutoonekana baada yamkutano kuisha ili ya warudishe ktk maeneo yao hali iliyosababisha watembee kwa miguu kutoka katikati ya mji had maeneo yao waliyotoka ambayo mengine ni zaid ya kilometa 20 had 25..huku wakizomewa njia mzima na wananchi wakaz wasongea mjin ambao walikuwa wanawaona walivyokuwa wanalalamika tena wengine wakisema ya kuwa wamekalishwa na njaa siku mzima na wanarud kwa miguu baada ya marol kuwarudisha watu kwa upendeleo..

haya ni mashokoro mageni
 
Hivi sheria inaruhusu malori kusafirisha abiria? au CCM iko above the law?
 
Hii ni nzuri sana kwa vile hata wao wamejua kuwa wakisema Dr. Slaa, watu huja wenyewe. Lakini kwa CCM watu hawaji mpaka wapewe posho na usafiri wa maroli. Can we get some pictures zikisafirisha watu?
 
<p>
Hiki ni kituko jamani,chama cha mapinduzi(ccm) wametoa mpya kwa wananchi baada ya kupita na gari lao la watangazo wakiwatangazia wananchi ya kwamba wajitokeze katika eneo la shule ya msingi majengo kumsikiliza dr slaa ambaye atahutubia tena katika eneo hilo,ikumbukwe eneo hilo ndio ambalo dr slaa alihutubia juz maelfu ya wanasongea,lakin ukwel dr slaa alikuwa hautubii teno ktk eneo hilo bali mgombea ubunge wa ccm Emmanuel Nchimbi ndiye aliyekuwa anamkutano ktk eneo hilo.watu walioamin ya kwamba dr atakuwa hapo walienda na walipofika ktk eneo la tukio walikuta ngoma zikipigwa huku kukiwa na bendera nyingi za ccm basi walitukana na kuondoka kwa hasira.Baadhi ya akina mama na akinabibi ambao ndio walikuwa wahudhuliaji wakuu wa mkutano huo ulioanza majira ya saa 6 za mchana had saa 12 jioni walikutwa wakilalamika ktk maeneo ya mkutano baada ya maroli ambayo yaliwatoa kutoka maeneo ya pembeni ya mji na kuwaleta kwenye mkutano huu,kutoonekana baada yamkutano kuisha ili ya warudishe ktk maeneo yao hali iliyosababisha watembee kwa miguu kutoka katikati ya mji had maeneo yao waliyotoka ambayo mengine ni zaid ya kilometa 20 had 25..huku wakizomewa njia mzima na wananchi wakaz wasongea mjin ambao walikuwa wanawaona walivyokuwa wanalalamika tena wengine wakisema ya kuwa wamekalishwa na njaa siku mzima na wanarud kwa miguu baada ya marol kuwarudisha watu kwa upendeleo..
</p>
<p>&nbsp;</p>
 
Back
Top Bottom