JK: A servile agent of Neo- Colonialism.
Of all the disqualification for JK quest to retain his presidency lies in his unconditional capitulation to Neo-Colonialism. Whether it is his...
PCCB fanyia kazi hili suala haraka...Mgombea wa Udiwani Kata ya Sinza kupitia CCM-Salim Mwaking'inda asubuhi hii amepita kitua cha taxi pale Sinza mori na kugawa sh 1000 kwa kila dereva wa Taxi...
Jamani, nimeiona hii headline katika gazeti la fisadi papa RA MTANZANIA leo hii: 'CCM yampa meno Shimbo.' Niashitushwa sana -- maana bila shaka yoyote ni uamuzi uliotolewa na kikao cha kamati Kuu...
Kuna Story nimeipata kwa rafiki yangu naomba tuijadili kwa maslahi ya Taifa letu lenye rasilimali nyingi lakini ni masikini wa kutupwa.
Nikiwa kati ya WATU waliohudhuria mikutano ya kampeni hasa...
Kitendo kilichotokea juzi pale uwanja wa taifa wakati wa mechi ya taifa stars na morroco kinanifanya nijiulize maswali ambayo yananirudisha nyuma kabisa na kutaka kujua kazi za shimbo kama...
Napenda kumsafisha bwana Oriwo; mkurugenzi wa synovate. Majibu yao ni ya kweli kuwa 61% ya watanzania watampigia kura Kikwete. Hata hivo majibu yao sio halisi... wamepigwa changa la macho...
JE RUSHWA NI NINI?
Mwaka huu, takukuru walitoa bango ambalo nilibahatika kulisoma limetoa tafsiri ya Rushwa katika uchaguzi kama ifuaatavyo.
utoaji wa fedha
Utoaji wa T-shirt
Vitu vya thamani...
sambaza ujumbe huu uwafikie wapiga kura wote waliopo Tanzania.
Mtanzania yeyote Mzalendo wa kweli, mwenye akili timamu, asiye na mtindio wa ubongo, wala mtumwa wa hila chafu, wala udumavu wa...
Ningefurahi sana, na natamani sana kusikia tamko la Mama yetu aliyebeba Bendera ya Tanzania ktk Umoja wa mataifa, Dr Asha Rose Migiro, kuhusiana na uchaguzi unaotukabili wiki chache zijazo. Nasema...
Wakati REDET na Synovate wanaita waandishi wa habari na kutangaza "utumbo" wao kwa watanzania, nimekuwa nikijiuliza kwa nini JF nasi tusiwaite waandishi wa habari na kuwatangazia matokeo ya kura...
Wana JF, napenda kupata ufanuzi kuwa je waziri mkuu wa Tanzania anatoka katika chama chenye wabunge wengi bungeni au? Je Dr Slaa akishinda urais na ccm ikawa na wabunge wengi, je itamlazimu ateue...
Salama ,
Nimatumaini yangu ya kuwa wewe ni mzima kabisa na unaendelea na shughuli kama kawaida,Mkuu nilikuwa ninakuomba utuwekee tangazo letu letu hili la kikao cha shina hapa Reading,99% ya watu...
Habari za leo wakuu, jana nilihojiana na baadhi ya wana jamii wenzangu ili kubaini kwannn watu wenye sifa za kupiga kura lakn hawapigi kura. Wametoa sababu zifuatazo:-
Mmoja amedai NEC inalipa...
Mfanyabiashara acharangwa mapanga katika vurugu za siasa
NA MWANDISHI WETU
11th October 2010
Vurugu zinazohusishwa na masuala ya kisiasa zimezuka katika mji mdogo wa Malampaka uliopo...
Synovate siwaelewi kabisa kwa ili, naomba wana-JF mnisaidie! Wamesema asilimia 84 wana imani na JK, asilimia 78 JK ni mtendaji mzuri, halafu asilimia 61 watamchagua JK 31 Okt 2010.
Maswali: je...
Nafikiri Mgombea wa Urais kupitia chama cha CCM wanamshauri vibaya ili apate wakati mgumu kwenye kusaka kura. Kasi yake ya kuchukua madeni ya Vyama vya Ushirika ambavyo chanzo chake kikubwa ni...
Kikwete!
Miaka mitano madarakani hujafanya lolote zaidi ya kuanguka majukwaani
Miaka mitano madarakani hujafanya lolote zaidi ya kwenda ughaibuni kuhemea pesa za matibabu ya maradhi yako ya...
Nimekuwa nikifuatilia jinsi vyama vyetu vinavyofanya kampeni zake, hususan jinsi ya kuwafikishia wananchi, wapiga kura, taarifa mbalimbali
zipo njia nyingi lakini moja ni ile ya kutumia vyombo...
Jamani hali ya hewa ni mbaya sana kwa sisi m hata vijijini. Hivi sasa nipo Kagera kwenye msiba na nipo eneo linaitwa Izibya ni Bukoba vijijini. Hapa ni usiku na tupo watu wengi kulala hapa...