Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Baada ya mbinu chafu za CCM kujulikana za kuwaandaa wapigakura kuyapokea matokeo yaliyo batili katika uchaguzi mkuu kwa kupitia vyombo vilivyokithiri kwa ufisadi vya REDET na SYNOVATE yenye...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Maudhui ya shairi la wanafunzi yamchefua DC Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga, Henry Clemens, juzi aligeuka mbogo baada ya kukasirishwa na shairi lililoimbwa na wahitimu watarajiwa wa Kidato cha Nne...
0 Reactions
33 Replies
7K Views
If the United States of America or Britain is having elections, they don't ask for observers from Africa or from Asia. But when we have elections, they want observers WHY?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Na Saed Kubenea Imechapwa 06 October 2010 CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimetwishwa tuhuma nzito za kuandaa mipango ya kuchakachua matokeo ya uchaguzi mkuu ili kionekane kimeshinda, MwanaHALISI...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ya Kikwete kama ya Mugabe? Na NdimaraTegambwage - Imechapwa 06 October 2010 Uchambuzi YALIYOTOKEA Zimbabwe kwa Robert Mugabe na ZANU-PF, ni kama yale yanayotokea Tanzania kwa Jakaya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hivi kwanini serikali ya chama cha mapinduzi inadhani kuwa wao pekee ndio wenye monopoly ya vyombo vya habari hapa nchini? Nalisema hilo kwasababu chini ya utawala wa rais Mkapa, mara nyingi kama...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Source: TBC1 Habari ya saa 2 Yuko kitandani anaumwa.... TBC wameonyesha kwenye taarifa ya habari ya saa 2 usiku. ANACHEZA NA MUNGU HUYU!!!!!!!!!
0 Reactions
104 Replies
12K Views
katika kile ninachokiona kama utapeli uliokubuhu wa serikali ya CCM kwa vile hawana kitu cha ukweli cha kushikia na ni maisha waliyoyazoea kudanganya....hivi karibuni ilitoa waraka kwa vituo na...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Mabomu yawatawanya wafuasi CCM, Chadema Imeandikwa na John Mhala, Arusha; Tarehe: 11th October 2010 KIKOSI cha Polisi cha Kutuliza Ghasia (FFU) cha Arusha, kimelazimika kufyatua risasi hewani...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
.....Rais Kikwete anamaliza ngwe yake ya miaka mitano ya urais wa Tanzania. Ametawala kwa miaka mitano kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).Ni mgombea wa urais kwa tiketi ya chama hicho...
0 Reactions
31 Replies
5K Views
Nikiangalia mambo haya napata wasiwasi kama uchaguzi utakuwa free and fair kwa tafsiri yoyote kwani chama tawala:- 1. Kinatisha wapiga kura kwa kutumia wanajeshi 2. Kimeshatangaza matokeo ya...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kwa mara ya kwanza vyanzo vyangu vya habari ndani ya CCM vimebaini pamoja na CCM kujigamba watashinda kwa kishindo lakini kichinichini wameanza kujadiliana ya kuwa kipimo cha REDET kimeonyesha...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Habari ndugu zangu! Napenda kuweka wazi kuwa sina haja ya kuendelea kuitwa Mtanzania kama chama tawala cha sasa kitaendelea kushika hatam oct 31.. Kwa maana hiyo, sina haja ya kujivunia kuwa mie...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Zamani kiliitwa kipindi cha ''usiku wa habari'' kilichoanzishwa na bwn Muro kabla hajasimamishwa kwa tuhuma za kuomba rushwa kama ilivyoripotiwa na vyombo mblmbl ikiwemo TBC. Sasa kipindi...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Naomba kujua njia bora ya kumshawishi mtanzania hasa wa kijijini ambaye hajui nini chanzo cha umaskini wake ili aweze kuchagua mabadiliko. Kumbuka inawezekana wengi hawajui maana ya ufisadi wala...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau hebu tusaidiane. Inawezekana mimi ndo sina habari sahihi, kwa sababu pengeni sikufuatilia michakato ya uchaguzi ndani ya CCM na hata sifuatilii kampeni zao! Nijuavyo, Dr. Bilal ni mgombea...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Najiuliza maswali juu ya mstakabali wa nchi hii na siasa zake nakoswa jibu, maana nikikumbuka tangu 1977 CCM ilizaliwa lakini kila miaka ikienda nilitegemea kitakuwa chama chakuwatoa wananchi...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Mzee ulisema kuwa hakuna damu itakayomwagika katika uchaguzi huu. Lakini tokea wiki iliyopita pale watu wawili walipouwawa katika mapigano ya wana-CCM na wana-CHADEMA huko Njombe, bado hujatoa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kwa vyombo vya habari na jinsi vinavyotoa elimu ya uraia, asilimia 42.7 ya wahojiwa waliridhika na utendaji wake ambapo redio ziliongoza kwa asilimia 73.7, televisheni asilimia 41.6 na magazeti...
0 Reactions
44 Replies
4K Views
Mara tu baada ya Tanganyika kupata uhuru wake Mwalimu Nyerere aliwatangaza maadui watatu wa taifa hili kuwa ni Umaskini, Ujinga na Maradhi, na kaanzisha rasmi mapambano dhidi ya maadui hao. Licha...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom