Baada ya mbinu chafu za CCM kujulikana za kuwaandaa wapigakura kuyapokea matokeo yaliyo batili katika uchaguzi mkuu kwa kupitia vyombo vilivyokithiri kwa ufisadi vya REDET na SYNOVATE yenye...
Maudhui ya shairi la wanafunzi yamchefua DC
Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga, Henry Clemens, juzi aligeuka mbogo baada ya kukasirishwa na shairi lililoimbwa na wahitimu watarajiwa wa Kidato cha Nne...
If the United States of America or Britain is having elections, they don't ask for observers from Africa or from Asia. But when we have elections, they want observers WHY?
Na Saed Kubenea
Imechapwa 06 October 2010
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimetwishwa tuhuma nzito za kuandaa mipango ya kuchakachua matokeo ya uchaguzi mkuu ili kionekane kimeshinda, MwanaHALISI...
Ya Kikwete kama ya Mugabe?
Na NdimaraTegambwage - Imechapwa 06 October 2010
Uchambuzi
YALIYOTOKEA Zimbabwe kwa Robert Mugabe na ZANU-PF, ni kama yale yanayotokea Tanzania kwa Jakaya...
Hivi kwanini serikali ya chama cha mapinduzi inadhani kuwa wao pekee ndio wenye monopoly ya vyombo vya habari hapa nchini? Nalisema hilo kwasababu chini ya utawala wa rais Mkapa, mara nyingi kama...
katika kile ninachokiona kama utapeli uliokubuhu wa serikali ya CCM kwa vile hawana kitu cha ukweli cha kushikia na ni maisha waliyoyazoea kudanganya....hivi karibuni ilitoa waraka kwa vituo na...
Mabomu yawatawanya wafuasi CCM, Chadema
Imeandikwa na John Mhala, Arusha; Tarehe: 11th October 2010
KIKOSI cha Polisi cha Kutuliza Ghasia (FFU) cha Arusha, kimelazimika kufyatua risasi hewani...
.....Rais Kikwete anamaliza ngwe yake ya miaka mitano ya urais wa Tanzania. Ametawala kwa miaka mitano kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).Ni mgombea wa urais kwa tiketi ya chama hicho...
Nikiangalia mambo haya napata wasiwasi kama uchaguzi utakuwa free and fair kwa tafsiri yoyote kwani chama tawala:-
1. Kinatisha wapiga kura kwa kutumia wanajeshi
2. Kimeshatangaza matokeo ya...
Kwa mara ya kwanza vyanzo vyangu vya habari ndani ya CCM vimebaini pamoja na CCM kujigamba watashinda kwa kishindo lakini kichinichini wameanza kujadiliana ya kuwa kipimo cha REDET kimeonyesha...
Habari ndugu zangu!
Napenda kuweka wazi kuwa sina haja ya kuendelea kuitwa Mtanzania kama chama tawala cha sasa kitaendelea kushika hatam oct 31..
Kwa maana hiyo, sina haja ya kujivunia kuwa mie...
Zamani kiliitwa kipindi cha ''usiku wa habari'' kilichoanzishwa na bwn Muro kabla hajasimamishwa kwa tuhuma za kuomba rushwa kama ilivyoripotiwa na vyombo mblmbl ikiwemo TBC. Sasa kipindi...
Naomba kujua njia bora ya kumshawishi mtanzania hasa wa kijijini ambaye hajui nini chanzo cha umaskini wake ili aweze kuchagua mabadiliko. Kumbuka inawezekana wengi hawajui maana ya ufisadi wala...
Wadau hebu tusaidiane. Inawezekana mimi ndo sina habari sahihi, kwa sababu pengeni sikufuatilia michakato ya uchaguzi ndani ya CCM na hata sifuatilii kampeni zao!
Nijuavyo, Dr. Bilal ni mgombea...
Najiuliza maswali juu ya mstakabali wa nchi hii na siasa zake nakoswa jibu, maana nikikumbuka tangu 1977 CCM ilizaliwa lakini kila miaka ikienda nilitegemea kitakuwa chama chakuwatoa wananchi...
Mzee ulisema kuwa hakuna damu itakayomwagika katika uchaguzi huu. Lakini tokea wiki iliyopita pale watu wawili walipouwawa katika mapigano ya wana-CCM na wana-CHADEMA huko Njombe, bado hujatoa...
Kwa vyombo vya habari na jinsi vinavyotoa elimu ya uraia, asilimia 42.7 ya wahojiwa waliridhika na utendaji wake ambapo redio ziliongoza kwa asilimia 73.7, televisheni asilimia 41.6 na magazeti...
Mara tu baada ya Tanganyika kupata uhuru wake Mwalimu Nyerere aliwatangaza maadui watatu wa taifa hili kuwa ni Umaskini, Ujinga na Maradhi, na kaanzisha rasmi mapambano dhidi ya maadui hao. Licha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.