Kigogo
JF-Expert Member
- Dec 14, 2007
- 20,508
- 6,146
PCCB fanyia kazi hili suala haraka...Mgombea wa Udiwani Kata ya Sinza kupitia CCM-Salim Mwaking'inda asubuhi hii amepita kitua cha taxi pale Sinza mori na kugawa sh 1000 kwa kila dereva wa Taxi pale..
PCCB fanyia kazi sual hili haraka nimekosa number zenu ningewapigia haraka sana
PCCB fanyia kazi sual hili haraka nimekosa number zenu ningewapigia haraka sana