Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kama hauifahamu sera halisi ya CCM ambayo inatekelezwa kwa vitendo ni hii hapa " ... mpaka sasa wanaendelea kudanganya wananchi kwamba sera ya CCM bado ni ya Ujamaa na Kujitegemea (Nyerere, 1993...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mimi ni mwanachama hai wa CCM na nimpenda maendeleo, sibaki kushabikia chama na kaucha maendeleo ya nchi nyuma. Nimebadirishwa mawazo kwa kiasi kikubwa na Dr. Slaa kwenye mdahalo wa ITV nasema ili...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani hii stori nimeikuta kwenye gazeti la Mwanahalisi. Hii habari ni ya kweli kutokana na interviews za wahusika. Kweli hii ni fedheha, sasa ndo nimeona ni kwa nini CHADEMA hawakutaka muungano...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Chama Chetu kimeshikwa pabaya sana mwaka huu, huwezi amini kama Kikwete na Kamati kuu ya Chama Jana walikaa 2 hours wakimsikiliza Dr. Slaa Live. Rafiki yangu wa ndani sana kwenye system...
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Wana CCM wote, wenye uchungu na nchi yetu, wanaotafunwa na Umasikini, nawaomba na tena kuwasihi, kumpigia Kura Dr. Wilbrod Peter Slaa. Mimi ni mwana CCM wa Damu, lakini sidanganyiki kwa kumpigia...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
WAZIRI Benard Membe leo alikuwa na wakati mgumu kuwabembeleza viongozi wa madhehebu na Dini za Kikristu pale alipokuwa akifanya nao kikao kuwasii wasimchukue JK na kupuuza uvumi unaoenezwa na...
0 Reactions
36 Replies
5K Views
armed soldiers of the tanzania’s people defence forces (tpdf) have been deployed to guard all sensitive areas in the indian ocean archipelago of zanzibar ahead of the october 31 election next...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Mtumishi wa mungu leo alikuwa uwanja wa shule ya msingi gangilonga-Iringa na kitu cha kwanza kabala ya kuanza somo lake la Mzaliwa wa kwanza. Aliwaomba watu kuuombea uchaguzi ujao,na akawaomba...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Katika hali isiyo ya kawaida wazee wa kijiji cha zegero wilayani kisarawe wamemuomba kada mmoja wa chadema amshauri dr slaa amwachie raisi dakta kikwete amalizie kipindi chake cha pili,wazee hao...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Baada ya kumsikiliza kwa makini Dr. Slaa jana na kukumbuka harakati zake za kuwakomboa watanzania kuanzia bungeni, watanzania hatuna mengi ya namna ya kumuelezea Dr. Slaa bali kusema anawapenda...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nashauri Meneja wa kampeni wa Chadema na timu mzima ya mapambano ya kukomboa Tz, kufanya jitihada kubwa ya kusambaza haraka iwezekanavyo ndani ya hizi siku sita zilizobaki CD/video ya mahojianao...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
MY TAKE These two need to join hands right now kabla ya jpli for our nations sake.Am sure Lipumba will be useful kwenye masuala ya uchumi chini ya serikali ya CHADEMA
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kinyume na makubaliano kati ya vyama vya siasa na NEC katika dakika za lala salama kuelekea uchaguzi NEC wamegoma kuwalipa mawakala na kuwatupia zigo hilo vyama husika. Leo kiongozi mmoja wa NCCR...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
.
0 Reactions
44 Replies
5K Views
Sababu kubwa inatokana na uaminifu wao, kwa mfano hili sakata la EPA,Wafanya Biashara wenya asili ya kihindi walitumiwa tu na vigogo wakubwa sana wa nchi hii na wahindi wakapewa percent yao tu...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Kinyume na ngebe za CUF na CCM kuwa wao ndiyo watagawana kura za huko taarifa za uhakika nilizozipata kwa wapenda maendeleo wa huko wangependa Dr. Slaa angalau afike makao makuu ya mikoa hiyo...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
In trying to escape its political death, CCM is hitting lask kick of a dying horse before Tanzanians officially burry the party on 30th October 2010. CCM is very sure than ever that its heart is...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
yupo baregu na dr mvungi wanampeleke puta kibaraka wa ccm
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Zikiwa zimebakia siku sita kabla ya Watanzania kwenda kupiga kura za kuchagua Madiwani, Wabunge na Rais kwa 2010 -2015. VITUO vya kupigia kura ni 51,800 nchi nzima, hii inamaanisha kila chama...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Katika kuonesha kuwa Makanisa mengi yako kibiashara zaidi, Kanisa la Pentekoste Kunduchi limepokea pesa haramu za kifisadi shilingi milioni ishirini kutoka kwa Mtanzania bandia Rostam Azizi huku...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…