Bado Niponipo
JF-Expert Member
- Aug 15, 2008
- 680
- 168
Zikiwa zimebakia siku sita kabla ya Watanzania kwenda kupiga kura za kuchagua Madiwani, Wabunge na Rais kwa 2010 -2015. VITUO vya kupigia kura ni 51,800 nchi nzima, hii inamaanisha kila chama kinatakiwa kiwe na mawakala 51,800 nchi nzima, gharama ya posho kwa kila wakala si chini ya sh. 10,000, na mwaka huu gharama ya posho kwa mawakala haitalipwa na Tume ya Uchaguzi, italipwa na vyama husika.
Kwa hesabu za haraka haraka mawakala 51,800 kila mmoja akilipwa sh. 10,000
51,800 X 10,000 = 518,000,000
(hii ni kwa wakala mmoja mmoja kama wakiwa wawili 1,032,000,000, bilioni moja)
Je vyama vya upinzani vimejipanga vipi Juu ya hili.
Bado
Kwa hesabu za haraka haraka mawakala 51,800 kila mmoja akilipwa sh. 10,000
51,800 X 10,000 = 518,000,000
(hii ni kwa wakala mmoja mmoja kama wakiwa wawili 1,032,000,000, bilioni moja)
Je vyama vya upinzani vimejipanga vipi Juu ya hili.
Bado