Mbimbinho
JF-Expert Member
- Aug 1, 2009
- 8,315
- 7,731
Chama Chetu kimeshikwa pabaya sana mwaka huu, huwezi amini kama Kikwete na Kamati kuu ya Chama Jana walikaa 2 hours wakimsikiliza Dr. Slaa Live. Rafiki yangu wa ndani sana kwenye system ananieleza huko hakulaliki sababu kuu ni kwamba chochote ambacho CCM wanazusha hata kama cha kweli ajabu watanzania wana ignore na chochote hata kama cha uwongo ccm wakisingiziwa wananchi wanaamini. Hii imemlazimu Kikwete kurudi mwanza hali ni tete...
Ajabu ni kwamba Kikwete hana ujasiri wa kutaja jina la Slaa kwa maana ya "authority" kama ambavyo slaa anamtaja kwenye EPA na kwingineko.
Ninaamini mwaka huu mambo yamegeuka
Ajabu ni kwamba Kikwete hana ujasiri wa kutaja jina la Slaa kwa maana ya "authority" kama ambavyo slaa anamtaja kwenye EPA na kwingineko.
Ninaamini mwaka huu mambo yamegeuka