Mboytz
New Member
- Jul 3, 2020
- 1
- 0
DaaahhhBetika ni genge la wahuni
Si mshauri mtu yeyote abet na hao vibaka
DaaahhhBetika ni genge la wahuni
Si mshauri mtu yeyote abet na hao vibaka
Mkuu leo inatoshaHongera! Hii nimeiona ikiwa muda umeenda sana.
Leta vitu vingine.
Wakomalie wakupe mpunga wako kisha temana nao mazimaNishatoka kaka....Hawana mpango
Ulifanikiwa chief hii ijali sio poaNimfuate tu Leicester city win na kiodd chake nitie 100000 faster hat nkipat 10000 poa tu
mkuu ikikupendeza na ukiwa na muda naomba unifafaulie hii option ya 3 way handicup sometime naona ina +1, n.k natanguliza shukran zangu za dhati maana dah pasipo kujua option mbalimbali nitaendelea kupigwa na Kanji dailyWakomalie wakupe mpunga wako kisha temana nao mazima
wale ni matapeli,achana naoWadau....Hivi betika mnawaelew kweli.....nimewithdraw toka Jana sijapata mpunga till Now
Je mkuu kati ya parimatch na betpawa wapi kuna uafadhali hakuna uhuni mkuu?Betika ni genge la wahuni
Si mshauri mtu yeyote abet na hao vibaka
Mkuu mimi huwa ni mzito kidogo kieleza.....ntajaribumkuu ikikupendeza na ukiwa na muda naomba unifafaulie hii option ya 3 way handicup sometime naona ina +1, n.k natanguliza shukran zangu za dhati maana dah pasipo kujua option mbalimbali nitaendelea kupigwa na Kanji daily
Betpawa hawanaga longo longo ila wana options chacheJe mkuu kati ya parimatch na betpawa wapi kuna uafadhali hakuna uhuni mkuu?
Uko sahihi tatizo la parimatch mkeka uwezi kuweka yaani parlay na system bet azikubali, inakubali single bet tuu.Betpawa hawanaga longo longo ila wana options chache
Parimatch sio wabaya kivile mara moja wanazingua, tatizo lao website yao nziiito
Huyo ni fala sana hata huwa simuamini nilitaka kumuua janaDinamo Zagreb imeingia kwenye kikundi cha wahuni rasmi jana
Pm ya nini sasa au na wewe unajifunza utapeli!!Wakuu kama kunamtu ambae sio muhoga aje ani pm ili tule pesa kwa double chance ya kuua team au kama mtakubali natuma humu humu mikeka sema watu wahoga inshort napata pesa through kuua kwa double chance, mi huwa napgwa mara moja moja kwa sasa
Ni vyema list ya hivi vikundi vya wahuni ikajulikana kwa faida ya kesho...Dinamo Zagreb imeingia kwenye kikundi cha wahuni rasmi jana
Ili wakubamize na single zaoUko sahihi tatizo la parimatch mkeka uwezi kuweka yaani parlay na system bet azikubali, inakubali single bet tuu.
Watu wahoga kuua kwahyo kama mtahitaji hata hum ntatuma lakn uwe na roho ngum, siwez kula hela yako mm.Pm ya nini sasa au na wewe unajifunza utapeli!!