Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 71,282
- 105,486
Una huzuni mtu kafariki au una huzuni hutalipwa deni?Jamani Corona ipo na wala sio siri.
Leo nimepatwa na huzuni sana. Jana ilikuwa nilipwe deni langu na mtu ninayemdai na yeye alinapa ahadi ya uhakika ya kunilipa jana. Nikachukulia poa usiku nikamtex hakujibu. Leo najua naenda kukunja mshiko wangu nampigia simu inapokelewa na mdogo wake ananiambia mwenye simu amefariki alfajiri hapa natoka kuhifadhi mwili. Corona ipo jamani.