Mwananchi B
JF-Expert Member
- May 23, 2013
- 1,654
- 3,423
Daaaaah na hapa nipo Mkoa, sijui narudi vipi Mjini.
Bei hujulikana wiki 2 kablaKuna watu walificha mafuta yao ili wayapandishe bei wawaumize raia aisee!
December mbaliTunakoenda sijui....mpka desemba 1$ tutainunua kwa 3000
Tozo haijaanza mwezi huuqIshu siyo dola, bali ni tozo zilozoongezwa na Mwigulu kwenye bajeti ya 2023/2024.
Mafuta hayaagizwi na kutufikia huku ndani ya mwezi. Huchukua miezi 2 mpk 3Mbona wameeleza kuwa mabadiliko ya kisera ha sarafu?
Dollar ndani ya mwezi imepanda kwa 130
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Mi nimesema kuwa bei hujulikana wiki mbili kabla ya siku ya tangazo, tangazo hutolewa Jumatano ya kwanza ya kila mweziMafuta hayaagizwi na kutufikia huku ndani ya mwezi. Huchukua miezi 2 mpk 3
Sasa unashangaa nini, petrol ni mahindi useme tunayazalisha hapa kwetu, sazingine tumieni akili kuliko makalio kufikiri
Sasa ikifika kule Ngara siitauzwa 4000Hali inazidi kuwa Tete,tunarudi Kwa mwaka Jana
======
MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), imetangaza bei mpya za mafuta ambazo zinaonesha Petroli imepanda kwa sh. 443 huku Dizeli ikipanda kwa 391 kwa Dar es Salaam.
Kwa mujibu wa bei mpya zilizotangazwa leo na EWURA, Petroli iliyokuwa inauzwa sh. 2,736 imepanda hadi 3,199 huku Dezeli iliyokuwa inauzwa sh. 2,544 imepanda hadi 2,935, kwa Dar es Salaam bei ambazo zitaanza kutumika kesho Jumatano, Agosti 02,2023 saa 6:01 usiku.
Aidha EWURA imesema sababu za mabadiliko ya bei hizo kwa mwezi Agosti 2023 ni changamoto za upatikanaji wa Dola za Marekani, mabadiliko ya sera za kikodi, kushuka kwa thamani ya Shilingi dhidi ya Dola ya Marekani, ongezeko la gharama za mafuta katika soko la dunia na gharama za uagizaji wa mafuta.
Imesema kwa mwezi Agosti 2023, bei za rejareja za mafuta katika Mikoa ya Tanga yatauzwa sh. 3,245 na Mtwara ni sh. 3,271.
Walifungia stock ndio maana hapa katikati mafuta yalikuwa hadimuHapo kuna watu wanapata mabilioni ndani ya siku 1 maana kama mtu alikuwa na lita milioni 2 tayari faida kapata na hii ilitegemewa maana mafuta yalifichwa mapema mno, maana bei ilishajulikana itapanda
Mwezi unaokuja itapanda tena maana dollar itakuwa imefika 2700 hivyo lita itafika 3500 hadi mwaka uishe mafuta yatakuwa 4000 huko
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Wao wabunge wanazidi kuongezewa marupurupu ,si wasindikizaji tuHuu mlipuko wa bei ya mafuta unaenda kupandisha kila kitu, halafu mishahara ya watumishi imebaki ileile kiduchu.....nchi hii imeharibiwa sana na hawa wanasiasa wachumia tumbo wasiokuwa na vision wala ubunifu wowote, empty set!
Hata wewe ukijua bidhaa itapanda bei lazima utafanya hivoWalifungia stock ndio maana hapa katikati mafuta yalikuwa hadimu
Umesema vyemaHata wewe ukijua bidhaa itapanda bei lazima utafanya hivo
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app