Katika maisha kuna jana, leo na kesho. Yote ni historia.
Na unapokuwa katika safari ya kisiasa, akiba ya maneno inasaidia sana.
Mlikuwepo, mpo na mtaondoka. Unapopewa nafasi, usitumie nafasi hiyo kwa maslahi yako binafsi. Tambua una ndugu, familia na jamaa.
Nawakumbusha, walikuwepo na...
wenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM), Mohamed Kawaida amesema Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM kwa kushirikiana na NEC, ilitoa maelekezo ya Balozi Emmanuel Nchimbi kuitwa katika vikao vya maadili, lakini alikaidi maelekezo hayo.
Kawaida amesema hayo leo Agosti 29...
Hakuna mtu wa CCM hajui ugomvi wa Nape na Nchimbi juu ya Jengo la UVCCM na mpaka leo Nchimbi pale anamiliki Floor, jana nilishangaa Msingwa kichwa maji anasema kuwa eti hakuwahi kusikia kuhusu stori ya UFISADI. Kila mmoja hapa nenda tu Google kaulize stori ya Nchimbi na Jengo la UVCCM na hata...
Barua FEKI, haina hata sifa za kuitwa ni barua ya Makamu wa rais
Nimedokezwa mbinu yao ni ile ile waliyotumia kwa Ndugai. Wamewatumia akina Ayo, Kitenge, na wote wanaosambaza habari kwa malipo ili ionekane ni barua halali. Wanachohakikisha ni kwamba Nchimbi hapati nafasi ya kuzungumza jukwaani...
Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Mkoa wa Dar es Salaam, kupitia Mwenyekiti wao Nasra Mohamed Ramadhani umeitaka Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kumfuatilia kwa umakini Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche, kutokana na kauli zake kuhusu masuala ya mpira wa miguu nchini.
Kazi kubwa...
Ndugu zangu mimi nauliza tu ni kwanini UVCCM tarehe ya Leo hawajaonekana kufanya kongamano la vijana maana leo ni siku ya vijana bali naona online tvs nyingi Kuna Bavicha na kwa mbali ile ngome ya nondo.
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa, Mohammed Ali Kawaida, amewakosoa vikali baadhi ya vijana hasa wale wa CHADEMA kwa kile alichokiita kejeli na kubeza hotuba ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan wakati wa uzinduzi wa Tume ya Rais ya Uchunguzi wa Ghasia na Ukiukaji wa...
Mwenyekiti wa UVCCM mkoa wa Dar es Salaam, Nasra Mohamed amesema; "Hata tukitengeneza Katiba Mpya leo kama watu hawatawajibika bado tutarudi kwenye suala la malalamiko kwa Wananchi"
1. Umuhimu wa Vitabu na Elimu
Mohamed Said anasisitiza kuwa maarifa ya kweli yamehifadhiwa katika maandishi:
"Elimu yote ipo kwenye vitabu Siwezi kuipata kwingine kokote".
"Hakuna kitu kinaweza kuchukua nafasi ya kitabu".
2. Tofauti ya Kitabu na Teknolojia (Tablet)
Anabainisha kuwa ingawa...
Umekuwa ni kama muendelezo wa maneno yasiyofaa kutoka kwa viongozi wa uvccm kwenda kwa wapinzani.
Ni kweli chama chochote like kilichopo madarakani kinahitaji kuendelea kubakia madarakani mile.
Lkn kulingana na wakati tulionao kwa sasa ambapo Hali ya utangamano wetu kama wana wa Tanzania siyo...
Mwenyekiti wa UVCCM mkoa wa Kagera Faris Buruhani amekitaka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kutangaza kuikubali Serikali iliyoko madarakani inayoongozwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kabla ya kumuomba Waziri Mkuu kuingilia kati suala la Ruzuku kwa Chama hicho. Ametoa wito huo...
Nimeshangazwa mitandaoni watu wamekomalia kuwa inshu hiyo ni ya kisiasa, wengine wameenda mbali eti mganga anaetuhumiwa si mganga ni ka mchezo tu, kuikinga serikali.
Kama tutaendelea hivi sioni haja ya kufatilia siasa mana naona imekua too much, tumeanza kuwa wajinga, watu wamekamatwa kichwa...
Moja ya kundi lilolokuwa brain washed nchi hii ni Umoja wa Vijana wa CCM, nina hakika kwa 100% CCM wamefanya makusudi kwa hawa vijana kuhakikisha Idara hiyo inakuwa haina uwezo tena wa kuhoji wala kupinga, badala yake kupokea maelezo. Hili ni tatizo kubwa sana.
UVCCM ukifatilia mijadala yao...
DKT. MWINYI AIPONGEZA UVCCM KWA KUIPA CCM USHINDI MKUBWA UCHAGUZI MKUU 2025
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amepongeza Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) kwa kazi kubwa na ya...
Jana nilipokwenda kuhuduria Kongamano la wanafunzi wa vyuo vikuu Chaso.
Walitumwa baadhi ya vijana kutoka UVCCM, kwa kulipwa vifedha kidogo…
Sina tatizo na vijana hata kama ni wa ccm kuhudhuria na kusikiliza sera, misimamo na hoja zetu.
Lakini huyu kijana, watu wetu walipomgundua na kumhoji...
Faris Burhan alisema mchana kweupe kwenye mkutano kuwa atawapoteza wapinzani, hamjawahi kumuita na kumpeleka mahakamani!
Leo mnamuandama Hilda Newton.
WHY DOUBLE STANDARDS?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.