Wakuu, mwenye ile link ya yule jamaa wa Facebook anayetoa utabiri naomba aniwekee hapa nataka nichukue link yake ya telegram
 
Ndio unarudishiwa ila zianzie game 5 na kuendelea kama wewe ulivyoweka ata ukiweka 10 ikachana Moja mshiko unarudishiwa ata ziwe 20 ni wewe tu
Hiyo kitu tamu sana...niliwai waza kwa nini sportybet wanakosa kitu kama hicho ni bora kuliko one cut na one flex maana odds aziguswi .. ukiwin unakula pesa kamili na ukikosa moja unarudishiwa mtaji .....
Ushauri kwa wale wa kutia mzigo mkubwa odds chache na mechi chache si chini ya 5 watazame hiyo kampuni ndiyo yakuchezea aina hiyo ya bet ..
 
Mechi ya UD almeria na sevilla imeniuma sana

Niliweka mechi kama 5 ngumu kumeza odds 70+ ikabaki mechi hii moja ya sevilla

Nilimpa sevilla ashinde na Almeria apate goal, Almeria alianza vizuri akaweka goal, baadae sevilla akafanya come back nzuri sana ikawa 1-2

Nilkuwa ninafuraha sana maana nilkuwa naiona laki 5 hii hapa, mbaya zaidi market nilizotumia haziruhusu cash-out, asee huwezi amini dakika ya nyongeza tena ya mwishoni Almeria akasawazisha 2-2

Nilihisi kizunguzungu wakuu, ikabidi nivute bapa kubwa la nyagi nitulize maumivu, imeniuma sana maumivu ya mapenzi yakasome
Pole sana mkuu. Kamari ndivyo ilivyo. Huwezi kuamini alichonifanya PSG kwenye treni hili la timu 21 na ndiyo ilikuwa timu ya mwisho kucheza. Aliongoza magoli 2 kipindi cha kwanza nikawa na furaha ya kupiga 4.7k, nilipoamka asubuhi nikakuta TF 2-2. Iliniuma sana lakini nimeishapoa. Kamari ni mchezo wa kiqumer sana.
1710234563690.png

1710234713592.png

1710235065548.png
 

Attachments

  • 1710234671844.png
    1710234671844.png
    94.7 KB · Views: 4
Hiyo kitu tamu sana...niliwai waza kwa nini sportybet wanakosa kitu kama hicho ni bora kuliko one cut na one flex maana odds aziguswi .. ukiwin unakula pesa kamili na ukikosa moja unarudishiwa mtaji .....
Ushauri kwa wale wa kutia mzigo mkubwa odds chache na mechi chache si chini ya 5 watazame hiyo kampuni ndiyo yakuchezea aina hiyo ya bet ..
Ndio ndio
 
Pole sana mkuu. Kamari ndivyo ilivyo. Huwezi kuamini alichonifanya PSG kwenye treni hili la timu 21 na ndiyo ilikuwa timu ya mwisho kucheza. Aliongoza magoli 2 kipindi cha kwanza nikawa na furaha ya kupiga 4.7k, nilipoamka asubuhi nikakuta TF 2-2. Iliniuma sana lakini nimeishapoa. Kamari ni mchezo wa kiqumer sana.
View attachment 2932554
View attachment 2932558
View attachment 2932564
Pole sana mkuu ulikwa na odds nyingi sana alaaniwe PSG

Mimi nilivyoona UD Almeria kasawazisha 2-2 kuna mtu nilikuwa nae bar tunakunywa pombe ghafla akaniona nimebadilika

Asee ni kama nilipata taarifa za msiba mkubwa sana, nilikunywa konyagi kama maji

Ila pia nimepata funzo la kuachana na markets ambazo hazina cash-out.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom