tpaul
JF-Expert Member
- Feb 3, 2008
- 21,861
- 18,285
Mkuu hii ni Play Master? Odds zao zikoje mkuu?Pole sana mkuu, pendelea kutumia pm bet, mtaji wako ungerudi
Mkuu hii ni Play Master? Odds zao zikoje mkuu?Pole sana mkuu, pendelea kutumia pm bet, mtaji wako ungerudi
Ndio ni Play master siwezi kusema odds ni nzuri au mbaya, ni kama makampuni yote tu mkuuMkuu hii ni Play Master? Odds zao zikoje mkuu?
Wakenya wanasemaje wazimahello dear punters hope you ok. well your babe mama is back
haya tuanziecha hapa
2.72 oddsView attachment 2932512
Hiyo kitu tamu sana...niliwai waza kwa nini sportybet wanakosa kitu kama hicho ni bora kuliko one cut na one flex maana odds aziguswi .. ukiwin unakula pesa kamili na ukikosa moja unarudishiwa mtaji .....Ndio unarudishiwa ila zianzie game 5 na kuendelea kama wewe ulivyoweka ata ukiweka 10 ikachana Moja mshiko unarudishiwa ata ziwe 20 ni wewe tu
Sawa mkuu; nimekupata.Ndio ni Play master siwezi kusema odds ni nzuri au mbaya, ni kama makampuni yote tu mkuu
Nimeicheki imekaa kizembe sanaPm bet haina longo longo, nasikia kuna kampuni nyingine kuweka pesa ni rahisi ila kutoa ni mziki
Pole sana mkuu. Kamari ndivyo ilivyo. Huwezi kuamini alichonifanya PSG kwenye treni hili la timu 21 na ndiyo ilikuwa timu ya mwisho kucheza. Aliongoza magoli 2 kipindi cha kwanza nikawa na furaha ya kupiga 4.7k, nilipoamka asubuhi nikakuta TF 2-2. Iliniuma sana lakini nimeishapoa. Kamari ni mchezo wa kiqumer sana.Mechi ya UD almeria na sevilla imeniuma sana
Niliweka mechi kama 5 ngumu kumeza odds 70+ ikabaki mechi hii moja ya sevilla
Nilimpa sevilla ashinde na Almeria apate goal, Almeria alianza vizuri akaweka goal, baadae sevilla akafanya come back nzuri sana ikawa 1-2
Nilkuwa ninafuraha sana maana nilkuwa naiona laki 5 hii hapa, mbaya zaidi market nilizotumia haziruhusu cash-out, asee huwezi amini dakika ya nyongeza tena ya mwishoni Almeria akasawazisha 2-2
Nilihisi kizunguzungu wakuu, ikabidi nivute bapa kubwa la nyagi nitulize maumivu, imeniuma sana maumivu ya mapenzi yakasome
Ndio ndioHiyo kitu tamu sana...niliwai waza kwa nini sportybet wanakosa kitu kama hicho ni bora kuliko one cut na one flex maana odds aziguswi .. ukiwin unakula pesa kamili na ukikosa moja unarudishiwa mtaji .....
Ushauri kwa wale wa kutia mzigo mkubwa odds chache na mechi chache si chini ya 5 watazame hiyo kampuni ndiyo yakuchezea aina hiyo ya bet ..
Kivipi mkuu? Haina machaguo ya kutosha?Nimeicheki imekaa kizembe sana
Pole sana mkuu ulikwa na odds nyingi sana alaaniwe PSGPole sana mkuu. Kamari ndivyo ilivyo. Huwezi kuamini alichonifanya PSG kwenye treni hili la timu 21 na ndiyo ilikuwa timu ya mwisho kucheza. Aliongoza magoli 2 kipindi cha kwanza nikawa na furaha ya kupiga 4.7k, nilipoamka asubuhi nikakuta TF 2-2. Iliniuma sana lakini nimeishapoa. Kamari ni mchezo wa kiqumer sana.
View attachment 2932554
View attachment 2932558
View attachment 2932564
huyu hapa:Wakuu, mwenye ile link ya yule jamaa wa Facebook anayetoa utabiri naomba aniwekee hapa nataka nichukue link yake ya telegram
Upooo wewe lipuka tu Singida hamna kitu mleWAKUBWA MECHI YA SIMBA LEO INAWEZA KUTOA OVER 2.5 NATAKA NILIPUKE.
Hio ndo maana halisi ya betting hauna uhakika wa 100%Mimi sio mtabiri ila najaribu kuwaza tu, hivi Rangers na ben-fica hawawezi kutoa GG2+
picha hazifunguki hii ni Nini?!Upooo wewe lipuka tu Singida hamna kitu mle
Wachezaji wenyewe wanaidai team
Jazia na hii
View attachment 2932660
We NGWENA acha KULIApicha hazifunguki hii ni Nini?!