SimbaMpole123
JF-Expert Member
- Apr 23, 2023
- 5,240
- 4,376
Huu Uzi umekufa au...😣mbona sioni codes nyingi nyingi sportybet betpawa kama mwanzo
Mechi Tano ni chache screen shot,,, tutembee nazo kwenye makampuni mengineHeshima zenu wakubwa!
Huu mkeka una odds 50+ ila ni kwa wale wenye ROHO NGUMU tu ndio watauweza maana kuna GG kama 5 hivi
Mimi naubetia kwa faida ya virtual, sio pesa ya bajeti zangu! Kwahiyo zingatia hilo, betia unachoweza.
SportyBet: 4BF8B54
Odds: 50
Stake: Tsh 18,000
Win: Tsh 1,000,000
Beti kwa kiwango chako!
_________________
ANGALIZO!
Kuna watu wanani-DM sana aise, wanauliza natoaga wapi ujasiri wa kubeti, jamani mimi sina huo ujasiri mnaodhania wala roho ngumu, roho ngumu anayo farao aliyemtesa YESU. Mimi huwa nadeposit 50K nabetia virtual at least 5000/10,000 kwa mkeka mmoja, najua nikirudia mara 5 sikosi ata 200K faida, na baada ya hapo sasa ndio natumia hiyo faida kumpasua SportyBet. Ni kama leo huo mkeka hapo juu naubetia kwa faida ya virtual pia, kwahiyo zingatieni hilo maboss zangu!
View attachment 2927086
View attachment 2927087
Vipigo vinavyotembea lazma kupoeHuu Uzi umekufa au...😣mbona sioni codes nyingi nyingi sportybet betpawa kama mwanzo
Mechi 4 tu zinapatikana, tatizo wengi wameshazoea matreni... Kwahiyo mtu anakua hakuelewi ukimpa odds 2/3 utakuta kazoea odds kuanzia 100. Ila silaumu, mimi mwenyewe nilianzia kwenye matreni, shida ni kwamba mtu anabaki alipo hataki ku-take risk na kupiga hatua. Unakuta mtu kabetia treni kapata 100K, kesho yake anatoa 90K anaacha 10K abetia treni nyingine 10 !!! Wakati anayo option ya kubetia 40,000 kwa mikeka 2 ya odds zisizozidi 4 na akapata faida nzuri tu. Ishu ni kwamba mtu anataka faida ya mamilioni kwa papo hapo ambayo ni ngumu sana!Kuna muda nafakali nabaki kujisonya tu,,,, hivi kweli nyota zetu ni chafu kiasi hiko kwamba vichwa vyote hivi tunakosa mechi nne tu japo tatu au nne za mitaji!!!
Kazi iko
Huo boss, jaribu bahati yako!M
Mechi Tano ni chache screen shot,,, tutembee nazo kwenye makampuni mengine
Hakuna kitu kinachoitwa nyota kwenye kamari....huu ni mchezo wa probability ...tunadhani kuwa itakuwa hivi au vile ila wanaocheza ni wachezaji...na kuna vitu vingi vinaathiri huu mchezo.Kuna muda nafakali nabaki kujisonya tu,,,, hivi kweli nyota zetu ni chafu kiasi hiko kwamba vichwa vyote hivi tunakosa mechi nne tu japo tatu au nne za mitaji!!!
Kazi iko
Hahaha kulikuwa moto Sana humu sema hela zenyewe hamna maisha magumu saa hivi hata wale wa laki mbili mbili match mbili siwaoniVipigo vinavyotembea lazma kupoe
Wazee wa kubet oyeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!Kwenu wazee wa kubet
AiseeeAisee!
Napita nayo hii mkuu ila na edit hizi tatu;AlNassir, Porto &Bayern (double chance)