pep wa buza
Member
- May 18, 2023
- 37
- 29
Hawa jamaa wanajua aisee.
kajichanganya kuedit.Hapa imekaaje?View attachment 2925448
Sijaona tatizo mbona, si kaweka over 5.5 total corners, sasa hapo si zimefika 9 Kuna tatizo Gani?kajichanganya kuedit.
huyu jamaa ni tapeli na channel yake. nilishamshtukia tangu kitambo tu. anakujaga na IDs tofautitofauti kutangaza channel yake ya kitapeli.
odds halisi za hiyo betslip ni 1.1, angalia vizuri picha. kujipakulia minyama kaedit odds 2.142.Sijaona tatizo mbona, si kaweka over 5.5 total corners, sasa hapo si zimefika 9 Kuna tatizo Gani?
Angalia kwenye wining odd mkeka umewini kwa 1.1 kivipi?Sijaona tatizo mbona, si kaweka over 5.5 total corners, sasa hapo si zimefika 9 Kuna tatizo Gani?
Sio kwamba mechi zilikua nyingi amecropAngalia kwenye wining odd mkeka umewini kwa 1.1 kivipi?
kajichanganya kuedit.
huyu jamaa ni tapeli na channel yake. nilishamshtukia tangu kitambo tu. anakujaga na IDs tofautitofauti kutangaza channel yake ya kitapeli.
inaweza kuwa sawa. lakini bado huyo jamaa ni tapeli. nilishaichunguza sana channel yake, imekaa kitapeli.Sio kwamba mechi zilikua nyingi amecrop
Wanaofanya screenshot ili waaminishe watu kua wanashinda ni matapeli tuinaweza kuwa sawa. lakini bado huyo jamaa ni tapeli. nilishaichunguza sana channel yake, imekaa kitapeli.
wakati naichunguza, free matches alikuwa hapost, yeye alikuwa anapost won slips kutoka kwenye group lake la VIP kutangaza VIP channel yake. kwahiyo ni tapeli.
kaichunguze na wewe channel yake ujionee.
Haifunguki mkuu, hebu iweke vizuriHawa jamaa wanajua aisee.
Wamekuonea huruma tu,maana inawezekana kipigo toka kwa Patel kinakujaHivi voda wana akili kweli yaani nimesuka mkeka wangu nataka niweke pesa huduma hazipo
Hawana akiliHivi voda wana akili kweli yaani nimesuka mkeka wangu nataka niweke pesa huduma hazipo