E9016D2 sportybet

Weka Tshs 10

Kuna codes nyingine ninatoa twitter kwa wapopo halafu na convert


Nenda twitter, pale kwenye search andika sportybet, zitakuja result nyingi angalia muda hiyo code iliyowekwa ni upi then copy, convert

Kama siyo expired convert kwa Ghana au International

Nimecash out mikeka zaidi ya kumi na ni matreni yote ya twitter
3969364 Edited
 
It's true tusianze katishana tamaa Kwa wanaotuma code, Mimi betting naijua kuwa hii ni ngumu hii ni nafuu

Sidhani ukipata code unaweka yote directly..lazima utathimini uone kama Na WW unaweza kuniweka..

Hapa lazima utumie slogan YA Rais JK kuwa akili YA mwenzako changanya Na yako
Akili za kuambiwa, changanya na za kwako🤣🤣🤣🤣
 
Unampangia Mwanaume mwenzio kiasi cha pesa ya KuBET?

Unamsaidia kuitafuta hiyo pesa?

Naomba to share Codes na Comments ila sio kushare Umaskini
Kila mtu apambane kivyake

Wewe ukiona mpaka mtu kaweka mkeka wa 300,000 ujue anajitanvua na kaishajipata,anajua hata ikiliwa within a week anaipata ktk Kazi zake

Wapo watu wao betting ni once a week,yaani anamtenga wiki mara Moja pesa ndefu ya Stake.
Ukiangalia wale wa Betting on daily basis yaani kila siku ni wastage of time for other duties na concentration ya masuala mengine ya Kazi inadorora.

We unapambana na 200 Ule milioni Mechi 20 mwenzio anawaza aweke laki Moja au Tatu Mechi nne tu au Tano unafikiria mpo Sawa?

Na wengi wenye stake kubwa wakiweka mkeka anaangalia siku ya MWISHO, sasa sie wa bukubuku kila Saa mtu anawasha sim,yaani kutwa nzima mtu yupo busy na mkeka huku wale wa High Stakes wao pressure ndogooo maana wingi wa Mechi ndio possibility ya kupata maradhi ya Moyo ipo high but wake stake kubwa kwao kawaida mnooo.

Sasa ukiwa na vipesa vya kudanganyana sijui kuna jamaa alikula milioni 50 kwa mia mbili then unataka wote wawe hivyo basi Pambana kivyako.

Usimpangie mtu pesa hujui anavyoitafuta,Na ukiona upo maskani kitaa na washkaji Betting zao hazizidi Buku 5 wao ni miamviki saana Buku mbili basi hamaaaa,jichanfanye na wake wenye ku stake high utajifunza mengi mnooo

Jiulize kwanini wenye ku stake kuanzia 20,000 mpaka laki 5 huwasikii kuongekea sijui jamaa alikula milioni 200 kwa Buku?
Ila kaa na wake wa mia mbili na Buku mbili,aisee wabamindoto mikubwaaaa

Badilika Mdau ,mheshim mnoo anae stake high.Ujue ameishajipata huyo

Humu watu Wana ku Dm mtu anaomba hadi 500 umtumie abet kisa etoli leo mechi zipo za utajiri.
Ukimtumia anaweka 200 kila mkeka Ili apate milioni 5, aiseee
 
HataTukibeti kistaarabu bado kichapo kipo palepale, hay odds 10 za kujilipua hizo wazee
Screenshot_20240114-134355_1.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii code ukitumia akili kuichakata... Inakupa pesa!

Danger!...

Enter with caution..! 12 Straight win games

59C676B

Odds 911...! Weka Buku Ule milioni! Ajax, Girona, Bologna,Villa, Lyon, Trabzonspor, Parma, Fiorentina, Fanabahce, Benfica, Olympiacos, Paok. Uoga wako!... Umasikini wako
Ruksa kuedit!!!
View attachment 2871365
Noma APA Lyon tu ndo namkwepa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unampangia Mwanaume mwenzio kiasi cha pesa ya KuBET?

Unamsaidia kuitafuta hiyo pesa?

Naomba to share Codes na Comments ila sio kushare Umaskini
Kila mtu apambane kivyake

Wewe ukiona mpaka mtu kaweka mkeka wa 300,000 ujue anajitanvua na kaishajipata,anajua hata ikiliwa within a week anaipata ktk Kazi zake

Wapo watu wao betting ni once a week,yaani anamtenga wiki mara Moja pesa ndefu ya Stake.
Ukiangalia wale wa Betting on daily basis yaani kila siku ni wastage of time for other duties na concentration ya masuala mengine ya Kazi inadorora.

We unapambana na 200 Ule milioni Mechi 20 mwenzio anawaza aweke laki Moja au Tatu Mechi nne tu au Tano unafikiria mpo Sawa?

Na wengi wenye stake kubwa wakiweka mkeka anaangalia siku ya MWISHO, sasa sie wa bukubuku kila Saa mtu anawasha sim,yaani kutwa nzima mtu yupo busy na mkeka huku wale wa High Stakes wao pressure ndogooo maana wingi wa Mechi ndio possibility ya kupata maradhi ya Moyo ipo high but wake stake kubwa kwao kawaida mnooo.

Sasa ukiwa na vipesa vya kudanganyana sijui kuna jamaa alikula milioni 50 kwa mia mbili then unataka wote wawe hivyo basi Pambana kivyako.

Usimpangie mtu pesa hujui anavyoitafuta,Na ukiona upo maskani kitaa na washkaji Betting zao hazizidi Buku 5 wao ni miamviki saana Buku mbili basi hamaaaa,jichanfanye na wake wenye ku stake high utajifunza mengi mnooo

Jiulize kwanini wenye ku stake kuanzia 20,000 mpaka laki 5 huwasikii kuongekea sijui jamaa alikula milioni 200 kwa Buku?
Ila kaa na wake wa mia mbili na Buku mbili,aisee wabamindoto mikubwaaaa

Badilika Mdau ,mheshim mnoo anae stake high.Ujue ameishajipata huyo

Humu watu Wana ku Dm mtu anaomba hadi 500 umtumie abet kisa etoli leo mechi zipo za utajiri.
Ukimtumia anaweka 200 kila mkeka Ili apate milioni 5, aiseee
Ushauri mzuri
 
E9016D2 sportybet

Weka Tshs 10

Kuna codes nyingine ninatoa twitter kwa wapopo halafu na convert


Nenda twitter, pale kwenye search andika sportybet, zitakuja result nyingi angalia muda hiyo code iliyowekwa ni upi then copy, convert

Kama siyo expired na inakataa kwa Nigeria convert kwa Ghana au International

Nimecash out mikeka zaidi ya kumi na ni matreni yote ya twitter
Mbona procedure ndefu sana?
 
Unampangia Mwanaume mwenzio kiasi cha pesa ya KuBET?

Unamsaidia kuitafuta hiyo pesa?

Naomba to share Codes na Comments ila sio kushare Umaskini
Kila mtu apambane kivyake

Wewe ukiona mpaka mtu kaweka mkeka wa 300,000 ujue anajitanvua na kaishajipata,anajua hata ikiliwa within a week anaipata ktk Kazi zake

Wapo watu wao betting ni once a week,yaani anamtenga wiki mara Moja pesa ndefu ya Stake.
Ukiangalia wale wa Betting on daily basis yaani kila siku ni wastage of time for other duties na concentration ya masuala mengine ya Kazi inadorora.

We unapambana na 200 Ule milioni Mechi 20 mwenzio anawaza aweke laki Moja au Tatu Mechi nne tu au Tano unafikiria mpo Sawa?

Na wengi wenye stake kubwa wakiweka mkeka anaangalia siku ya MWISHO, sasa sie wa bukubuku kila Saa mtu anawasha sim,yaani kutwa nzima mtu yupo busy na mkeka huku wale wa High Stakes wao pressure ndogooo maana wingi wa Mechi ndio possibility ya kupata maradhi ya Moyo ipo high but wake stake kubwa kwao kawaida mnooo.

Sasa ukiwa na vipesa vya kudanganyana sijui kuna jamaa alikula milioni 50 kwa mia mbili then unataka wote wawe hivyo basi Pambana kivyako.

Usimpangie mtu pesa hujui anavyoitafuta,Na ukiona upo maskani kitaa na washkaji Betting zao hazizidi Buku 5 wao ni miamviki saana Buku mbili basi hamaaaa,jichanfanye na wake wenye ku stake high utajifunza mengi mnooo

Jiulize kwanini wenye ku stake kuanzia 20,000 mpaka laki 5 huwasikii kuongekea sijui jamaa alikula milioni 200 kwa Buku?
Ila kaa na wake wa mia mbili na Buku mbili,aisee wabamindoto mikubwaaaa

Badilika Mdau ,mheshim mnoo anae stake high.Ujue ameishajipata huyo

Humu watu Wana ku Dm mtu anaomba hadi 500 umtumie abet kisa etoli leo mechi zipo za utajiri.
Ukimtumia anaweka 200 kila mkeka Ili apate milioni 5, aiseee
Mkuu naona wewe sasa unaanza kutupangia stake ya kuweka na namna ya kubet. Mtu akiamua kuweka 200 kwa timu 60 ni maamuzi yake binafsi. Aheshimiwe. Usimpangie mkuu.
 
Unampangia Mwanaume mwenzio kiasi cha pesa ya KuBET?

Unamsaidia kuitafuta hiyo pesa?

Naomba to share Codes na Comments ila sio kushare Umaskini
Kila mtu apambane kivyake

Wewe ukiona mpaka mtu kaweka mkeka wa 300,000 ujue anajitanvua na kaishajipata,anajua hata ikiliwa within a week anaipata ktk Kazi zake

Wapo watu wao betting ni once a week,yaani anamtenga wiki mara Moja pesa ndefu ya Stake.
Ukiangalia wale wa Betting on daily basis yaani kila siku ni wastage of time for other duties na concentration ya masuala mengine ya Kazi inadorora.

We unapambana na 200 Ule milioni Mechi 20 mwenzio anawaza aweke laki Moja au Tatu Mechi nne tu au Tano unafikiria mpo Sawa?

Na wengi wenye stake kubwa wakiweka mkeka anaangalia siku ya MWISHO, sasa sie wa bukubuku kila Saa mtu anawasha sim,yaani kutwa nzima mtu yupo busy na mkeka huku wale wa High Stakes wao pressure ndogooo maana wingi wa Mechi ndio possibility ya kupata maradhi ya Moyo ipo high but wake stake kubwa kwao kawaida mnooo.

Sasa ukiwa na vipesa vya kudanganyana sijui kuna jamaa alikula milioni 50 kwa mia mbili then unataka wote wawe hivyo basi Pambana kivyako.

Usimpangie mtu pesa hujui anavyoitafuta,Na ukiona upo maskani kitaa na washkaji Betting zao hazizidi Buku 5 wao ni miamviki saana Buku mbili basi hamaaaa,jichanfanye na wake wenye ku stake high utajifunza mengi mnooo

Jiulize kwanini wenye ku stake kuanzia 20,000 mpaka laki 5 huwasikii kuongekea sijui jamaa alikula milioni 200 kwa Buku?
Ila kaa na wake wa mia mbili na Buku mbili,aisee wabamindoto mikubwaaaa

Badilika Mdau ,mheshim mnoo anae stake high.Ujue ameishajipata huyo

Humu watu Wana ku Dm mtu anaomba hadi 500 umtumie abet kisa etoli leo mechi zipo za utajiri.
Ukimtumia anaweka 200 kila mkeka Ili apate milioni 5, aiseee
Kuna member mmoja humu nimetoka kumkanda, eti ananishangaa kuweka laki Tatu kama anajua kipato changu vile, hajui mm kila siku natafuta odd mbili tuu natia mpaka laki tano Sasa anafikili wote wakuweka buku timu hamsini ili tule million mia, uliza humu kama Kuna bwege yoyote amewahi kula million ishirini?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom