sabuwanka
JF-Expert Member
- Apr 11, 2015
- 691
- 751
Mbona mapema hivi?
Mbona mapema hivi?
toa somo hilo mkuu.Edit Trick 4728CB2
Hapa kwenye hii edit kuna somo kubwa sana tena sana ...ni SOMO LA ALMAS NA DHAHABU
Nilitoe somo au nisilitoe nijibuni nijue kama nibaki nalo au niwamwagie wakamaria mzidi kuwa hatari hadi nchi nyingine waseme mikeka ya watanzania ni Noma sana siyo sasa hivi tunasifu matapeli ya nigeria .
NIAMBIENI KAMA NITOE SOMO
mtu akikoseshwa aweke na screenshot wasituchoshe.Naona kuna kamtindo saivi daaaah kmmke Celt vigo kanikosesha m20 mbwa yule
Wakat mkeka hatujawai hata kuona na sisi uyo Celia vigo atukoseshe hizo milioni
Utashangaa mechi ya juve inaisha hvo hvo 1 bila
Oky sasa nimeelewa wapi mnakua hamuelewi.Mkuu hizo options nimeshindwa kuzielewa, hizo timu ulizoziweka ni kwamba zitashinda?
uyu famba ..arsenal na shoga ake awapigi corner mbwa hawaWestham tena mara ya pili unanichania wewe sasa hivi nakupa tu ushinde au draw au sijui nikuache tu
Bet WiN
Naona anaondoka na matren mengi ya LeoWakuu mnaoangalia mechi ya Juve kuna comeback?