Governor of Bettors-GB
JF-Expert Member
- Jul 14, 2013
- 9,873
- 8,894
Kimyaaaa😂😀😂😂
Mwendo wa kusonya tu
Mwendo wa kusonya tu
Udinese unawachukulia poa?Kweli Italy wanabeti leo bologna kapigwa 3?
Siwachukulii poa lkn bologna amekua na form nzuri lately, amekua akipata matokeo MAZURI kwa timu kubwa so leo hata draw alikua ana uwezo wa kutoa Sema ndo mpira tenaUdinese unawachukulia poa?
Juve 1xNaombeni Odds 10 tuuu
SNaombeni Odds 10 tuuu
Chukia hii kisha tuliaaaaaNaombeni Odds 10 tuuu
wote hao huwa wanapaki bus wakipata goli........Kwa wachambuaji wa ndani ndani...kwanini game ya Juventus na Roma ina odds nyingi za over 2.5?
Ndugu Yangu,si unawajua wa kuibuka baada ya matokeo eti mtu ndio anajifanya anaijua Team utafikiria yeye alipa chance😂😂😂Siwachukulii poa lkn bologna amekua na form nzuri lately, amekua akipata matokeo MAZURI kwa timu kubwa so leo hata draw alikua ana uwezo wa kutoa Sema ndo mpira tena
Mamelodi anataka kupindua matreniMamelodi sundown VP mbona hamueleweki leo..nimekueweka mikeka takribani yote
Mchambuzi wa mchongo nipo hapa😂😂Kwa wachambuaji wa ndani ndani...kwanini game ya Juventus na Roma ina odds nyingi za over 2.5? 😃
unabet🤣Waongeze halopesa aisee