Ta Kamugisha
JF-Expert Member
- May 17, 2011
- 3,536
- 2,187
Duuuu
Hivi Hadi Leo mnabetia Hawa wizi wa betpawaKUna siku nilikuwa nalinganisha odds za mkeka sawa kati ya betpawa na premier bet, kiufupi betpawa wanaiba kwa kutumia akili zile total odds. Odds ya mwisho kwa mechi zote ilikuwa ndogo sana kwa betpawa ukilinganisha na premier bet, licha ya kuwa betpawa wametoa tena 50% bonus na odds za kila mechi hazitofautiani sana.
Nikajua tayari AI ipo kazini, wanawaibia na kuwadanganya wachezaji.
akifanya muamala tu baaas, kashatajirika.😂😂😂😂😂😂
Aje kwa MFALME
Kumuona tu pesaa
kule South America ndo mpira ulikozaliwa, hamnaga kibonde.!!Ilihitaji akili kubwa sana na bahati kuruku viunzi vya, sweden, nigeria, argentina na brasil
View attachment 2816145
Na huku mpooowatu wanabetView attachment 2816201
Biashara umezokimbia ni Halali na Zina Upako wa MUNGU
Huku wenzio tunashetani na tunapambana kishetani.
Ndugu Yangu,Mchezo wa KAMARI sio ajira ya Kukuria,achana na hizo Story za vijiwe njaa vya waliokata tamaa ya Maisha Kazi kusifia tuuu wasioviona.
KAMARI unapoteza utu wa Mtu,inadhalilisha,unapoteza uwezo wa kufikiri,unapoteza uwezo wa kumbukumbu kwa Kazi mnooo
Mbaya zaidi umeenda mpaka kupoteza Nguvu za Kiume,yaani Mkeka ukichanika Muhindi Hali pesa Yako peke yake anakula mpaka na nyege zetu.Na siku ukimla Kanji basi unamla mpaka na nyege zake unakua full mkongo.
Watu kibao wamekatisha miadi ya dem kwa kuchanika mkeka.
Nakushauri achaa,endelea na Biashara huko huko.
Tumekuwa mpaka tunatapeliana sie kwa sie humuhumu,uongoo
Tuliomo humu usione tu tunachat,ILA tunasiri nzito mnoo mioyoni mwetu