Heavy User
JF-Expert Member
- Feb 2, 2020
- 954
- 1,732
huo usenge upo hadi kwenye basketball na michezo mingine tofauti na football.Machoko ni mengi siku izi timu una ipa over 1.5 dk ya 6 yana fungana 1 afu yana tulia adi match ina isha ivyo ivyo .
utakuta umeomba over 99.5. dakika za mwanzo wanafungana kwa kasi kweli, mpaka unasema "yes, hapa tayari, magoli machache yaliyobaki yatatimia tu, dakika bado nyingi sana". wakifika magoli 90 wanaanza kutegeana kufunga, mpaka game inaisha matokeo ni 97. utafikiri wanatumwa vile!!