Void ab initio
JF-Expert Member
- Mar 1, 2015
- 5,703
- 5,635
HT Mancity tumeshamalizana naye mapema sana.Namvia Mancity hapa HT, pia namvizia Notts county FT. Kazi inaendelea. AISEEEEE...!!!
HT Mancity tumeshamalizana naye mapema sana.Namvia Mancity hapa HT, pia namvizia Notts county FT. Kazi inaendelea. AISEEEEE...!!!
City hawezi fanya makosa wakati Ana mtaji mbele ya BayernHT Mancity tumeshamalizana naye mapema sana.
Mkamalia kwa emergency liandae treni lengine kama hill likidondoka ila liwe la safari fupiWakamalia Sasa Safari inaendelea hk kipande Cha reli tunachoanza nacho kidogo kina kuwa na usumbufu flani na ukizingatia kagiza kinaingia basi tumuembee anaetuongoza tufike mwanza salama,
Kwakuwa tutalala mwanza ili kesho Safari yetu iendelee basi maombi ni muhimu sn naamini tutafika mwanza tutalala na tutaamka salama na kuendelea na Safari
Mkamalia kwa emergency liandae treni lengine kama hill likidondoka ila liwe la safari fupi
Si mchezo Mkuu, michakato imekuwa mingi.Umepotea mno
Napoli kasign dili nono na muhind la kuuza mechNapoli ameshakua mjomba
Nimeondoa mechi 4B5BBF1E
Akili za kuambiwa ??
Sisi tupo aisee Ninatimiza miaka 10 ya Kubet mwakaniSi mchezo Mkuu, michakato imekuwa mingi.
Nimeondoa mechi 4
Mzee umeficha hadi id😂😂😂ila unaonyesha hela. Kuna watu wabaya sana humu😂😂😂Tuombeane,View attachment 2588965
Najua treni halifiki popote hilo, tunajifurahisha tu,Mzee umeficha hadi idila unaonyesha hela. Kuna watu wabaya sana humu
Mkamalia hili treni linaweza kudondoka lazima liwepo lengineUsishuke mkuu kua mvumilivu