Napoli kama Mamelod tu sasaNapoli ametoa draw ni faida kwa wenye mitaji mikubwa
Napoli kama Mamelod tu sasaNapoli ametoa draw ni faida kwa wenye mitaji mikubwa
Mfumo umedukuliwaJf Kuna nin mbona picha hazionekan ?
Muhindi muhuni sana tangu saa kumi nambil nilitaka kucash out coz niliona kabisa napoli leo anawez kufa ila chakushangaza mechi moja ambayo imeshatoa matokea akaofungia muhindi **** la mama ako uko ulipo umefanya nikose ela ya kodi
Betpawa kakaApp gan mkuu
Nikicash aut bei gan napat
Tukiunganisha nguvu haya matreni ya 0.5 tunaweza kupasua game zote 60Poleni sana wakamalia wenzangu, kipande hiki Cha kutoka singida kuitafuta tabora kilikuwa na changamoto nyingi sn.
Mvua ya mawe pamoja na uchakavu wa miundombinu ukiongezea na Giza hili kumepelekea dereva wa chombo kushindwa kukihimili na hatimaye chombo kwenda mrama.
Kesho tunabadilsha ruti tunaachana na hii ruti ya kigoma tunaelekea mbeya kwa reli ya Tazara,
Tunaachana na hizi km 60, nakuja na km50
Vita ni ngumu lkn lazima tuishinde.
Sasa mkuu unataka kucash out nini wakati treni lishatumbukia kwenye makorongo
mimi nakuombea kaka itoe unipe mtaji mana muhind mshezi sana amenifanya vibaya sana leo 😂😂😂Afu watu wa humu mna siri kubwa kumbe game ya spurs ilifikisha kona 9 hata hamsemi ,basi mniombee game ya man City itoe kona 9 ntatoa mtaji kwa watu kumi !!hiyo game ikitoa kona 9
Kuna timu huko La Liga ina kona 20 muda huuNapoli ana Kona 2 Kati ya 8 nilizoomba na bado dakika 10
Muamini PSG, Madrid usimuamini maana tayari kazidiwa point 13Leo siku ngumu sana