Nimeamua kutoka moyoni rasmi kuachana na kubet
Hii kitu Watu Mnawezaje...Mi nilisha shindwa Eti..Yan Imefika stage Mshahara Ukiingia mwisho wa Mwezi kabla sijauona nampigia simu Wife akachukue salio la Ada ya Watoto na Chakula..Mwaka jana nilibetia Ada ya Watoto Sitasahau Nilisumbuana sana na Walimu na Familia Unyumba niliutafuta kwa Tochi...BETTING Hatari ila Salama📌
 
Hii kitu Watu Mnawezaje...Mi nilisha shindwa Eti..Yan Imefika stage Mshahara Ukiingia mwisho wa Mwezi kabla sijauona nampigia simu Wife akachukue salio la Ada ya Watoto na Chakula..Mwaka jana nilibetia Ada ya Watoto Sitasahau Nilisumbuana sana na Walimu na Familia Unyumba niliutafuta kwa Tochi...BETTING Hatari ila Salama📌
Nimecheka sanaa, ila uzuri umejua kutatua tatizo.
 
Jaribu hii
Screenshot_20230319-125834.jpg
 
Hii kitu Watu Mnawezaje...Mi nilisha shindwa Eti..Yan Imefika stage Mshahara Ukiingia mwisho wa Mwezi kabla sijauona nampigia simu Wife akachukue salio la Ada ya Watoto na Chakula..Mwaka jana nilibetia Ada ya Watoto Sitasahau Nilisumbuana sana na Walimu na Familia Unyumba niliutafuta kwa Tochi...BETTING Hatari ila Salama📌
Mnanyimwaje K hivi mbona sielewi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom