Big loss1.51 ODDS ROLLEVER FOR 10 DAYS:
DAY ONE : BCJW5RK (SPORTYBET)
UNAWEZA KUANZA NA KIASI CHOCHOTE UNACHOWEZA KARIBU
Reporters walizingua, dk ya 18 walilichukua goli la Numungo la Sixtus sabilo assisted na Kichuya wakalipeleka kwa simba, watu wakampa simba over 1.5 wengine wakaipa draw, wakati gane imeisha 0:0. Kwa mkanganyiko huo, yeyote aliyeibetia ile game kafanyiwa refundKwani mechi ya mbeya kwanza v simba nini kilitokea? Mbona nimerudishiwa hela yangu!
Na ndio maana nilikuwa nafatilia live kwenye mkeka wangu niliona goal limeingia, halafu baadaye kidogo wakaiondoa kwenye live, mwisho kabisa nikarudishiwa hela yangu ingawa nilikuwa nimeweka over 2.5.Reporters walizingua, dk ya 18 walilichukua goli la Numungo la Sixtus sabilo assisted na Kichuya wakalipeleka kwa simba, watu wakampa simba over 1.5 wengine wakaipa draw, wakati gane imeisha 0:0. Kwa mkanganyiko huo, yeyote aliyeibetia ile game kafanyiwa refund
Hii won mzee, nimechelewa... Kesho tena1.51 ODDS ROLLEVER FOR 10 DAYS:
DAY ONE : BCJW5RK (SPORTYBET)
UNAWEZA KUANZA NA KIASI CHOCHOTE UNACHOWEZA KARIBU
Hongera kama ulitoa lakini kesho tena tunaingia siku ya pili tuombe tu uzima
wakala wa nini chat nao palepqle kwenye account na waombe email yaoNimewith draw pesa kidogo but haijaingia kwenye tigopesa.naomba msaada wakala wa 22bet.
Nilishafanya hivyo bila mafanikio yoyote yale.wakala wa nini chat nao palepqle kwenye account na waombe email yao
Sawa nashukuru kwa ushauri.
Hao jamaa nilisha achana nao kitambo sana, wana dalili flani za kitapeli... Ukiona watu wengi wanalalmika na plaform flani, achana nao...Nimewith draw pesa kidogo but haijaingia kwenye tigopesa.naomba msaada wakala wa 22bet.