Parasite
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 611
- 555
W
Alafu kwanin hawana mawakala yani tangu nimeanza kuulizia wakala wa 22bet sijawahi ambiwa huyu hapa.
Wapo ambao watakutukana wakikusikia unaongea hivyo, ila ukweli utabaki kwamba 22bet wana shida kidogo, nimetoa pesa elfu 30, kwenye 22bet inaonyesha imetoka ila kwenye tigopesa hakuna hela sasa sijui tatizo nin?Hao jamaa nilisha achana nao kitambo sana, wana dalili flani za kitapeli... Ukiona watu wengi wanalalmika na plaform flani, achana nao...
Alafu kwanin hawana mawakala yani tangu nimeanza kuulizia wakala wa 22bet sijawahi ambiwa huyu hapa.